BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,165
Mayoooooooomkuu mbona anacheza kote kote ndugu ni atari
Mayoooooooomkuu mbona anacheza kote kote ndugu ni atari
Sasa unaogopa nini? Mkulu kashasema fyatueni watoto kwani Elimu ni bure.
Tumikisha akili mzeeKuna kabinti tulikua tunachat nacho kwenye mitandao ya kijamii kama friend ikaja ikatokea siku moja nikiwa mikoani kwao tukaonana stori za apa na pale mwisho akaondoka kiukweli nilikaona kadogo kweli.
Sasa kesho yake akaja tena tukawa tunapiga stori akanipa habari zake za chuo nk badae Muda ukaenda akaniambia analala. Basi tukalala nikakuta tumevunja amri ya sita.
Kwa maumbile ya yule mtoto yalikua madogo nilitumia kinga but nakumbuka ilipasuka, cha kunishangaza yule mtoto michezo yake ilikua hatari kwa waelewa wataelewa alinipa nini.
Anyway sikuamini kwa rika Lake kama ule mchezo anauweza na alijifunzia wapi tuyaache hayo.. Nilimwambia kua nina mtu kwa hiyo aelewe hivyo basi siku zilienda simu zikawa nyingi hadi kero..
Baadae kaniambia ana mimba dah nilijuta sana maana sikutaka tena watoto wa nnje sasa kawa mjanja kutafuta no na mawasiliano ya ndugu zangu kwenye mitandao ya kijamii cha kusikitisha kawaambia dada zangu wote adi Bro zangu yaani mpaka aibu isitoshe simu kila saa usiku mchana kisa ananiambia atanikomoa niachane na mpenz wangu.
Najuta sana kiukweli kwa hivi vibinti nimeamua hata kuikataa mimba kabisa maana huyu kadhamiria kuniharibia kabisa... Au nifanyeje jamani?
Hahahah na madawati ya msaadaSasa unaogopa nini? Mkulu kashasema fyatueni watoto kwani Elimu ni bure.
naona aliisahau.Umesahau sentensi maarufu sana kwa wazinzi kama wewe..."shetani alinipitia"!!!.
Unajua kuna miaka 30 jela?????Kuna kabinti tulikua tunachat nacho kwenye mitandao ya kijamii kama friend ikaja ikatokea siku moja nikiwa mikoani kwao tukaonana stori za apa na pale mwisho akaondoka kiukweli nilikaona kadogo kweli.
Sasa kesho yake akaja tena tukawa tunapiga stori akanipa habari zake za chuo nk badae Muda ukaenda akaniambia analala. Basi tukalala nikakuta tumevunja amri ya sita.
Kwa maumbile ya yule mtoto yalikua madogo nilitumia kinga but nakumbuka ilipasuka, cha kunishangaza yule mtoto michezo yake ilikua hatari kwa waelewa wataelewa alinipa nini.
Anyway sikuamini kwa rika Lake kama ule mchezo anauweza na alijifunzia wapi tuyaache hayo.. Nilimwambia kua nina mtu kwa hiyo aelewe hivyo basi siku zilienda simu zikawa nyingi hadi kero..
Baadae kaniambia ana mimba dah nilijuta sana maana sikutaka tena watoto wa nnje sasa kawa mjanja kutafuta no na mawasiliano ya ndugu zangu kwenye mitandao ya kijamii cha kusikitisha kawaambia dada zangu wote adi Bro zangu yaani mpaka aibu isitoshe simu kila saa usiku mchana kisa ananiambia atanikomoa niachane na mpenz wangu.
Najuta sana kiukweli kwa hivi vibinti nimeamua hata kuikataa mimba kabisa maana huyu kadhamiria kuniharibia kabisa... Au nifanyeje jamani?