fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Mambo vipi ndugu zangu,.....mimi ni (ME) tatizo ni kwamba (KE) wangu hata siku moja cjamsikia akisema nimemfikisha kwenye tendo. hata hivyo bado najiamini kuwa huwa nafanya kazi yangu kiukamilifu na kwa ubunifu mkubwa, Lakini pia wanawake huwa wanajua kuwa hata sisi wanaume tunahitaji kuridhika? any way swali langu la msingi ni hili, kama sijaambiwa na mwenzangu kuwa ameridhika, mimi naweza tumia ishara gani toka kwake kujua kuwa nimewajibika kwa ufasaha, maana nikimuuliza anaweza kunijibu kuwa kafika lakini ikawa si kweli bali ananiridhisha tu!
Nawasilisha
Nawasilisha