Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,815
- 4,658
Duniani kuna mambo yanashangaza sana
Kuna mzee mkulima mwenye umri wa miaka 81 anayejulikana kwa jina la THAI NGOC hajafanikiwa kupata usingizi ndani ya miaka 60
Yaani yeye anashinda anapiga zake game na kuvuta sigara halali kabisa yaani.Hata familia yake na majirani wamekiri kuwa hawajawahi kumuona akilaza mgongo wake chini
Tuliopita JKT at least tulikaa 8 weeks bila kulala na mziki wake tuliuona Je huyu wa miaka 60?
Hii ni Maajabu
Kuna mzee mkulima mwenye umri wa miaka 81 anayejulikana kwa jina la THAI NGOC hajafanikiwa kupata usingizi ndani ya miaka 60
Yaani yeye anashinda anapiga zake game na kuvuta sigara halali kabisa yaani.Hata familia yake na majirani wamekiri kuwa hawajawahi kumuona akilaza mgongo wake chini
Tuliopita JKT at least tulikaa 8 weeks bila kulala na mziki wake tuliuona Je huyu wa miaka 60?
Hii ni Maajabu