National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
namba hiyo, tuma muamala hapo kwanza, badae tukamcheki hospital..Hajulikani.
namba hiyo, tuma muamala hapo kwanza, badae tukamcheki hospital..Hajulikani.
Situmi hela kwa dragon aisee.. Ukienda Small Planet uwakute hawa ata kuwasogelea huruhusiwi. Na. Meza zao zipo reserved.namba hiyo, tuma muamala hapo kwanza, badae tukamcheki hospital..
kumbe wabaguzi eeh 😅😅😅Situmi hela kwa dragon aisee.. Ukienda Small Planet uwakute hawa ata kuwasogelea huruhusiwi. Na. Meza zao zipo reserved.
Mwanamke Ana nyodo yule, sijapata kuonaKm Uwoya kaahh... hapana nyodo zimezidi wa kuambiwa watu wanakaaa stoo watafute Helaakasema j3 ni wikiendei sio work day,tutafute Hela tupunguze kupanda daladala !!!
My dear hata marehem ruge kwao wako vizuri lkn baadae walisarenda wakaomba msaada. Imagine unaumwa halafu unaambiwa matibabu ni 1.5m kwa siku, hapo lazima familia vichwa viwaumeKwa uwoya utasugua gaga, kwao kupo vizuri.
Duhhhhh!!!!jamani Mungu amponye namuonea huruma mwanawe tuNdio nimemsikia Leo huyo msanii...vijana ACHENI SHISHA na huyo ni mmoja tu tumemfahamu coz ni msanii..ni vijana wangapi wako ocean road au hospital zingine wanateseka na mapafu kushindwa kufanya kazi na cancer .huyo mapafu kwisha habari yake.Mungu aingulie kati otherwise hatoki humo ICU maana hawezi kupumua bila mashine na mapafu yamefail...
Tulimchangia Ruge sembuse Uwoya!!umesahau binamuu?!!!Kwa uwoya utasugua gaga, kwao kupo vizuri.
Kapoa Sasa hv anaimba injili itakua sijui kaachwa maana Yale masham sham siyaoni,ngoja akarenew Kwa Sangoma arudi mjiniSi waende kwa uwoya
Hilo tatizo analimaliza mwenyewe
Le bilionea
Ova
Kibri Cha Uzima ila havinaga muda vile vitu amuulize Wema aliyesemaga hawezi panda daladala maana Sio hadhi yake kilichomkuta huko nyumaMwanamke Ana nyodo yule, sijapata kuona



alifuliaga mpk akawa anapanda Bajaj Kwa kificho,akaenda kukaa kijichi,akawa kama digidigi haonekaniNdo nimemkumbusha hapo yaani Kuna magonjwa kibongo bongo bila kutembeza bakuli hutoboi ng'ooo!!!My dear hata marehem ruge kwao wako vizuri lkn baadae walisarenda wakaomba msaada. Imagine unaumwa halafu unaambiwa matibabu ni 1.5m kwa siku, hapo lazima familia vichwa viwaume
nilisoma sehemu matibabu yake ni kiasi cha laki 7, nikasema kwa msanii na wasanii kwa umoja wao hili wanaweza limudu nimeshangaa wanavyo likwepa
sizani bhana yan washindwe laki 7 .. mbona jamaa uyo wa Mtei alie zaa nae kwao wako vizur tu sio watu wakukosa 700k ad ichangishwe na watanzania
Kwa sauti ya Tivu...yaninii mie..🤣🤣🤣Nilishawahi kuvuta moshi wake ukanishinda maana ulikuwa unakaa wiki nzima nausikia nikajiuliza yanini yote haya...😂