Haithamkim amefanyaje?

Haithamkim amefanyaje?

Screenshot_20230831-110744.png
 
Ndio nimemsikia Leo huyo msanii...vijana ACHENI SHISHA na huyo ni mmoja tu tumemfahamu coz ni msanii..ni vijana wangapi wako ocean road au hospital zingine wanateseka na mapafu kushindwa kufanya kazi na cancer .huyo mapafu kwisha habari yake.Mungu aingulie kati otherwise hatoki humo ICU maana hawezi kupumua bila mashine na mapafu yamefail...
 
Back
Top Bottom