Hivi andunje kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, roben au hata huyo James Rodrigez ......... Kama kuibeba timu Di maria ndio alikua anaibeba timu.
FIFA wamezidi upendeleo!
Hivi andunje kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, roben au hata huyo James Rodrigez ......... Kama kuibeba timu Di maria ndio alikua anaibeba timu.
FIFA wamezidi upendeleo!
Hivi andunje kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, roben au hata huyo James Rodrigez ......... Kama kuibeba timu Di maria ndio alikua anaibeba timu.
FIFA wamezidi upendeleo!
Ni vyema ukatafuta vigezo walivyotumia kabla ya kulalamika
mashabiki wa man u na anti-messi mshaanza ujinga wenu.
Kwa mtazamo wenu mlitaka nani apewe?
Wenye akili tunajua vizuri kuwa kwa hiyo Tuzo nayo ni fitna tu kumpa huyo Messi hana chochote zaidi kuna wachezaji wengi wazuri ila siyo huyo anayeweka kwasababu ya Fifa.
kwa mtazamo wenu mlitaka nani apewe?
fIfa na akina blatter wapo obssessed na messi sana..this is too much..ameunderperform lakini wana mbeba tu..mtu hajaweza kufunga kwenye gemu ngumu hata moja
fIfa na akina blatter wapo obssessed na messi sana..this is too much..ameunderperform lakini wana mbeba tu..mtu hajaweza kufunga kwenye gemu ngumu hata moja
mashabiki wa man u na anti-messi mshaanza ujinga wenu.
babu arjen
Wenye akili tunajua vizuri kuwa kwa hiyo Tuzo nayo ni fitna tu kumpa huyo Messi hana chochote zaidi kuna wachezaji wengi wazuri ila siyo huyo anayeweka kwasababu ya Fifa.