Hainaga ushemeji tunakulaga

Kula nini?
1471065467630.jpg
 
Nikifika sehemu nikikuta huu wimbo unapigwa mabinti na wavulana wanawehuka ndio naamini kweli nimezeeka! Kinachoimbwa sielewi nasikia kelele tu na watu kukata viuno kama pangaboi!
Kipindi mdundiko unapita mitaani ulikuwa hujazaliwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom