Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu,
kuna kitu kinanitatiza kwenye tangazo la bia moja wanaslogan inayosema
"HAINA MAJOTRO"
mimi mpaka leo sijajua maana ya hilo neno,na hata nikiwaeleza watu wanaopenda kulitumia hili neno hawanipi jibu la kuniridhisha,ndio maana nikaamua kuleta hapa kwa great thinkers wanisaidie kupata jibu
asanteni.
kuna kitu kinanitatiza kwenye tangazo la bia moja wanaslogan inayosema
"HAINA MAJOTRO"
mimi mpaka leo sijajua maana ya hilo neno,na hata nikiwaeleza watu wanaopenda kulitumia hili neno hawanipi jibu la kuniridhisha,ndio maana nikaamua kuleta hapa kwa great thinkers wanisaidie kupata jibu
asanteni.