Haina maana kujengeana chuki ndani ya JF

Haina maana kujengeana chuki ndani ya JF

JF kuna kila aina ya watu, kwa iyo wewe mtreat mtu namna anavyokuja. 😁
Heshimu anaekuheshimu n.k
Kuna watu humu waga wanafikiri JF ni yao, wameiasisi wao na wapo pia wale wanaojiona bora kuliko wenzao, kiuchumi, kielimu, kuishi ulaya na marekani na n.k.
JF uwanja wa fujo. 😁
 
JF kuna kila aina ya watu, kwa iyo wewe mtreat mtu namna anavyokuja. 😁
Heshimu anaekuheshimu n.k
Kuna watu humu waga wanafikiri JF ni yao, wameiasisi wao na wapo pia wale wanaojiona bora kuliko wenzao, kiuchumi, kielimu, kuishi ulaya na marekani na n.k.
JF uwanja wa fujo. 😁
😁😁
 
JF kuna kila aina ya watu, kwa iyo wewe mtreat mtu namna anavyokuja. 😁
Heshimu anaekuheshimu n.k
Kuna watu humu waga wanafikiri JF ni yao, wameiasisi wao na wapo pia wale wanaojiona bora kuliko wenzao, kiuchumi, kielimu, kuishi ulaya na marekani na n.k.
JF uwanja wa fujo. 😁

Jamaa Busu la Kenge kisa kuishi Ulaya anaona kamaliza kila kitu kama anaishi Mars, full of ego
 
Jamaa wanajionaga wao ni binadamu "First Class" . šŸ˜„
Sio wote bwashee,mbona mimi sijioni kwenye hiyo class?

Mimi JF nina formula yangu,mtu nampokea kama atakavyo kuja,i fight my own battle,siwezi kuripoti kwa Moderators hata siku moja,hua naona hiyo ni sign of weakness,simuweki mtu kwenye ignore list hata siku moja,yeye ndio ataniweka kwenye ignore list yake.
 
Siku za nyuma ulete nongwa nisikujibu. Yaan kuna watu humu ndan wanakera ni bas tu. Mimi cku hizi ukinikera ckujibu bali naku ignore tu na maisha yanasonga. Haina haja nipambane na wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom