hyassin92
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 583
- 631
Kwani Yesu alikua mkristo?
Ukristo umeanza baada ya yeye kufa na kufufuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh...
Kizuri kula na nduguzo kaka.Iko kule kitambo,kama ni yeye aliyeiandika kule hongera yake,ila kama sio yeye amefanya kukop na kupaste ni aibu kwake
Aibu ya nini tena?hata huyo 24 nae alikuwepo huko 1900s na yeye si amekacopy?Iko kule kitambo,kama ni yeye aliyeiandika kule hongera yake,ila kama sio yeye amefanya kukop na kupaste ni aibu kwake
Umefanya plagiarism acha ukanjanja.Wewe uliyeikuta huko DAR 24 kwanini usingeileta hapa ushee na wenzako?