Tokea mwaka 1995 jina Lowasa lilitawala media zote za Tanzani mpaka 2015 lakini kwa mwezi huu Machi 2017 Lowasa kapotezwa vibaya na DR Magufuli katika media za siasa hapa Tanzania. Hii inamaanisha kwamba Lowasa yupo hoi Kisiasa na tayari kuna tetesi na mikakati ya Wanachadema kuanza kumpotezea na wengine wameenda mbali na kumshauri Mzee wetu Lowasa kuachana na Siasa yaani Astaafu mambo ya siasa.
Katika zama hizi za Magufuli hakuna siasa za rushwa na magenge na hicho ndo kimempoteza Lowasa kabisa katika media za siasa
Katika zama hizi za Magufuli hakuna siasa za rushwa na magenge na hicho ndo kimempoteza Lowasa kabisa katika media za siasa