storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Jimbo la MBOWE latikiswa Tena, Wenyeviti 13 wa vitongoji wanaotokana na chadema wamejiuzulu Nyadhifa zao na kujiunga na Ccm.
Sababu wanayotaja ni kukubaliana na kazi kubwa za heshima zinazofanywa na serkali hii na kuwa yale waliyoyataka sasa yamafanyika hivyo wanaungana na upande unasema na kutenda.
View attachment 1074935View attachment 1074971
kama mateka yani.....