Hai / Kilimanjaro: Wenyeviti wa vjiji 62 vitongoji 260 hajawahi kulipia posho zao tangu Saashisha Mafue awe Mbunge

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,769
21,323
Kwa Hali ya kushangaza na kusikitisha, wenyeviti wa vijiji na vitongoti Jimbo la Hai , Mkoa wa Kilimanjaro, wamesusia uchaguzi wa ndani wa CCM kwa Kile wanachokisema kuwa hawajawahi kulipwa posho zao kwa miaka mitatu sasa tangu wamchahue mbunge wao Saashisha Mafue.

Hali imechafuka zaidi baada ya mbunge Huyo kutoa majibu ya jumla kuwa hausika Wala hataki kujua walishalipwa Wala wamelipwa kwa sababu haijulikani majukumu yao ya kila siku Bali ni kulalamika tu.

Wenyeviti wote hao wametokana na CCM ila mateso wanayoyaata na hawana pa kuzungumzia wala wa kumlalamikia wanakiri kurudi chadema 2024 bila kukosea.

Kuna Kila dalili uchaguzi wa ndani wa ccm jimbo la haikuvurujika kwa ngono uliowekwa na viongozi wa vijiji na vitongoji vyake.

Katika malalamiko hayo tukiwa Silvia na Katibu wa ccm Mkoa wa Kilimanjaro mr Mabiya Hakuwa Tayari kuzungumzia suala hilo.

Tunaomba CCM ifanye ifanyalo wazee hao ambao ni watumishi wa serikali yao walipwe posho zao mapema iwezekanavyo .

 
Kwa kifupi hujui kabisa kumchafua MTU na huyo saasisha hapo Hai yupo sana yule DJ hana chake tena.

Nimejikuta nacheka na katika kucheka mawazo yakanipeleka pengine utakuwa mtoto wa DJ maana kwa akili hizi ambazo hazijui wenyeviti wanalipwa posho na halmashauri zao napata mashka kama damu ya DJ haijahusika hapa
 
Kwa Hali ya kushangaza na kusikitisha, wenyeviti wa vijiji na vitongoti Jimbo la Hai , Mkoa wa Kilimanjaro, wamesusia uchaguzi wa ndani wa CCM kwa Kile wanachokisema kuwa hawajawahi kulipwa posho zao kwa miaka mitatu sasa tangu wamchahue mbunge wao Saashisha Mafue...
Shida SII chaguo la wanahai🏃
 
Mkoa mzima wa Iringa, Njombe na Mbeya wenyeviti wavijiji na vitongoji wapatao 20 elfu hawajawahi kulipwa posho tangu uhuru unasemaje?
 
Kwa Hali ya kushangaza na kusikitisha, wenyeviti wa vijiji na vitongoti Jimbo la Hai , Mkoa wa Kilimanjaro, wamesusia uchaguzi wa ndani wa CCM kwa Kile wanachokisema kuwa hawajawahi kulipwa posho zao kwa miaka mitatu sasa tangu wamchahue mbunge wao Saashisha Mafue.

Hali imechafuka zaidi baada ya mbunge Huyo kutoa majibu ya jumla kuwa hausika Wala hataki kujua walishalipwa Wala wamelipwa kwa sababu haijulikani majukumu yao ya kila siku Bali ni kulalamika tu.

Wenyeviti wote hao wametokana na CCM ila mateso wanayoyaata na hawana pa kuzungumzia wala wa kumlalamikia wanakiri kurudi chadema 2024 bila kukosea.

Kuna Kila dalili uchaguzi wa ndani wa ccm jimbo la haikuvurujika kwa ngono uliowekwa na viongozi wa vijiji na vitongoji vyake.

Katika malalamiko hayo tukiwa Silvia na Katibu wa ccm Mkoa wa Kilimanjaro mr Mabiya Hakuwa Tayari kuzungumzia suala hilo.

Tunaomba CCM ifanye ifanyalo wazee hao ambao ni watumishi wa serikali yao walipwe posho zao mapema iwezekanavyo .

Mleta mada hajielei ha5 nchi nwima wenyeviti wa serikali za mitaa hwanaish bila posho na imdkuwa kbhda.Pia kazi xa kuwalipa si ya mbunge ni ya serikali.​

 
Mkoa mzima wa Iringa, Njombe na Mbeya wenyeviti wavijiji na vitongoji wapatao 20 elfu hawajawahi kulipwa posho tangu uhuru unasemaje?
Mleta mada hajielewi swala la wenyeviti wa mitaa kutolipwa ni kero ya nchi nzima.Pia kazi ya kuwalipa c ya mbunge ni ya serikali.Ingekuwa wenyeviti wa chama wangelipwa na chama.
 
Kwa kifupi hujui kabisa kumchafua MTU na huyo saasisha hapo Hai yupo sana yule DJ hana chake tena.

Nimejikuta nacheka na katika kucheka mawazo yakanipeleka pengine utakuwa mtoto wa DJ maana kwa akili hizi ambazo hazijui wenyeviti wanalipwa posho na halmashauri zao napata mashka kama damu ya DJ haijahusika hap
 
Back
Top Bottom