Dah hiii habari kutaka dawa ya kuacha pombe alaf unapewa yakutibu kichocho ni hatari sana nimecheka kinomaalaf hii itakuwa inafanyika hata huku mtaani kwetu hawa wamasai hawa siwaelewi elewi


sana tu mkuu me ilikua ukiingia njiia zangu umeisha utakunywa hata kaswende 

me binafsi siamini katika laanaKweli mkuu. Hizi ni laana kabisa, ningejua story ipo hivi nisingeisoma kabisa ila basi tu najikuta naendelea na uzi
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app


inaweza kuwa hivyo mkuu maana me hua navichanganya sana hivyo visiwaNimetembea sana visiwa vya ukara sema nimeshavisahau..halafu hyo guest ya GREEN PARACHICHI KAMA NIMESHAIONA. Halafu mbona kama Bwisya ni Ukara kabisa na hyo guest ipo ukara? au nimesoma vibaya unasema ipo UK.
"Kesho yake niliwai kumgongea rafiki angu mlango demu wake akasepa kisha tukaenda chumban mwa dokta kufanya ibada.saa moja tukaenda kusubiria boti itupeleke Kisiwa cha Izinga."
Swali, Leo umeenda kufungua sabato Mh. shemasi?

Mkuu ni zaid ya miezi mitano cjaenda church 

Kwani huyu unayemuibia kwenye briefcase sio yule uliyemuibia vitabu??? Au ni nyumba tofauti ?nitamulezea mkuu![]()
Shusha mavituz tasavalindo huyo huyo nimenza kumuelezea sasa
Juu kule kwenye Maweulikua unakaa mkinyerelo ya juu au ya chini?
Kwanini sasa mkuu, au umerudi kwenye mambo yako?Mkuu ni zaid ya miezi mitano cjaenda church
![]()
Mie katika kitu naamini Ni Laana...laana ipo best .sio iwe ya mama au baba...hata kwa ntu tifauti..akihuzunika na kama.kwel umemkosea...itafanya kazi hata kizaz chako huko mbelenme binafsi siamini katika laana![]()