Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea......

Kabla ya kwenda kisiwa cha Siza tulipita kwanza kwenye kakisiwa flani hivi kalikua kako jiran na Siza, kama kawaida tulifika guest moja hv kupumzika,kukabidhi hesabu kwa dokta na kuchukua dawa nyingine zilizokua zimeisha.

Nilisahau kuwaambia namna tulivyokua tunalipwa na dokta.Kila dawa ilikua ina bei yake ko ulikua unatakiwa uuze kwa hyo bei malipo yako ni pale ukiuza kwa bei zaidi.

Mfano dawa ni 3k wewe ukiuza 5k unapeleka 3k kwa dokta na inayobaki ni yako kwa kila dawa.nilikua naona ni kazi sana kushawishi watu wanunue lakin kuna muda ilikua inakubid uuze tu dawa kwa bei yake ila dokta alikua ana huruma alikua anachukua hela kidogo zinazo baki tunabaki nazo.

Kuhusu kula,nauli na kulala ilikua ni juu yake......siku hyo nakumbuka tulimkabidhi hesabu yake akachukua 90k tu nyingine alitupatia.

Nilimshaur rafiki angu hela nyingine tutume nyumbani ili wajue kua tuna wakumbuka na kweli tulienda kuzituma.nilitumia Sister 150k m_pesa rafik angu pia alituma kwao hela.Nilijisikia Amani kusaidia familia yangu ingawa walikua wanajiweza

Nilimkumbuka bby angu nikamua nimpooze na 10k ya soda maana alinambia nikirud nimlete nguo.Me nilikua naona jau kununua nguo za kike.

Usiku hatukulala vizuri kwenye ile guest maana Tax bed a.k.a kunguni walitushughulikia kisawasawa...aise kunguni ni noma yani wanakung'ata ukiwasha taa unaviona hvyo vinaishirizia kujificha.kulipo kucha ilibidi tuondoke bila kuuza chochote hapo.

Tulipanda boti za wavuvi ( mtumbwi ) mpk Siza.Kisiwa cha Siza nikizur sana kwanza mchanga wake tu mweupe kama wa baharini..

Tulitafuta guest tuka bahatisha lakin zilikua ni za mabati moja kwa moja ko joto lilikua ni balaa wakati wa mchana.

Baada ya kupumzika mchana wake tuka amua kuingia mzigoni.Tuliuza sana siku hyo...Niliingia kwenye mji mmoja hivi nilikuta watu ni wengi tu wamekaa nje ya vyumba vyao.nilifika nikaanza kupiga promo ya dawa na kweli baadhi yao walinunua lakin kama kawaida yangu tabia yangu iliendelea ( kwa wale walikuwa wanataka dawa ya kuacha pombe )...kuna Mama mmoja alikua ndani kalala, alitoka nje baada kunisikia na kisha aliniita chumbani mwake na mlango aliufunga.


Madaktari wanajua sana siri za wagonjwa wao aisee.Huyo mama alinambia matatizo yake na mumewe mpk akawa analia.Alikua na tatizo la uzazi maana mpk kwa umri huo mkubwa alikua hana mtoto...alinambia kuwa kashatumia kila madawa mpaka ya kienyeji.Nilishtuka sana alivua kanga yake na kunionyesha dawa iliyokua kiunoni mwake ( kama shanga hivi ) eti alipewa na Masai kuwa kila anapokutana kimwili na mume wake awe ameivaa ndo mtoto atapatikana.

Me nilikua kmya tu namsikiliza wakat huo begi nimeliweka mapajan ili asione mashine yng ilivyosimama.Ilibaki kidogo nimtafune yule Mama sema tu alisema yeye na mume wake wanaumwa Kaswende.ko ndo ikawa pona pona yangu.

Nilimpa dawa ya uzazi na kaswende baada ya kumpa ushauri wa kitaalamu ( cjui hata nilitoa wap yale maneno ya kumshaur yule Mama ) kisha nikaondoka baada ya kulipwa.nilmwachia namba za simu in case of danger aniombe ushauri.

Siku hyo mambo yalikua mazur sana kwetu.Usiku ulifika tukaenda hotelin kula.Dokta alituaga kuwa anaenda kumuona mgonjwa wake, sisi tulirudi wenyewe guest.

Kuna ugomvi ulitokea kwenye chumba kilichokua jiran yetu.Ni Kijana mmoja hivi alikua ni mwenyeji wa dar alikua kafata mzigo wa Dagaa.

Alikua anapigana na malaya wake.Malaya anadai 25k ni kwa bao moja na msela anataka walale mok asubui kwa hyo hyo hela.Walizichapa mpk kutona nje Binti alikua uchi jamaa yupi na boksa.

Me nilikua pemben nashuhudia ngumi mara nilishangaa mkono unanipapasa mgongoni kucheki ni ka dada poa kanataka kanipe huduma nilimuuliza bei akasema 15k tu mpk asubui me nilimwambia sina akasema nimpe niliyokua nayo

Nilienda kumgonga kwa buku tano tu.Nilichukua chumba kingine maana rafiki angu nae alikua na Dada poa moja mzuri sana ko yeye alimgongea kwenye hicho chumba tulicho book mwanzoni.

Kesho yake niliwai kumgongea rafiki angu mlango demu wake akasepa kisha tukaenda chumban mwa dokta kufanya ibada.saa moja tukaenda kusubiria boti itupeleke Kisiwa cha Izinga.

Wakat tunasubir bot alikuja yule Mama niliyemuuzia dawa ya kaswende na Uzazi kwanza niljua anazirudisha zile dawa kumbe alikua anataka tena dawa ya Kaswende kwa ajili ya Mume wake,nilimuuzia kisha bot ikaja tukapanda kuelekea Izinga

Katika sehemu ambayo biashara ilikua mbaya ni hapo izinga yaan mimi tu ndo niliuza dawa ya 10k Dokta alivyoona hivyo alidai tunarud msoma maana ka mmisi mkewe ....ko tulienda kusubiria bot za kurudi kakukuru.Bot zilikua ni shida siku hyo tulisubir sana mpk kakapita kamtumbwi kamoja kalikua kamendikwa ALI KIBA ubavuni.

Me nilisema sipand ule mtumbwi maana ulikua na abiria wengi ( madansa ) alafu pia ulikua mdogo na Hali ya hewa ilikua mby yn sana,mawimbi yalikua makubwa sana.

Nilijikuta tu nimepanda ile bot ila roho haikuepo kabisa nilikaa kimya siongei na mtu.Kuna dansa mmoja nilikaa nae alikua ana nyege siku hyo sema tu ndo tulikua kwenye mtumbwi.Yaan alikua fununua vipaja vyake ili nione mara ananipapasa tumboni lakin hisia ne ndo sina kabisa.


Nitarudi baadae kidogo.....
Kweli mganga hajigangi ukaogopa kaswende na dawa unazo...ila umenichekesha sana ulivoweka begi mapajani asione ulivokiwasha... Ila hiyo tour ilikua babkubwa navuta picha kama sio bongo yan ni mwendo wa boat na mitumbwi tu
 
Ila nikwambie dogo holy holm kwa jinsi ninavyo wafahamu wasabato na misimamno yao tena mpaka kupewa ushemasi, kwa mienendo yako haukupaswa kuwa kiongozi.

Labda ndiyo imani yenu siku hizi, vinginevyo unachoelezea hapa mpaka 2016 'eti' ulikuwa kiongozi mmh!!.
Itakua wengi wa unaowajua ni wazee...
 
Itakua wengi wa unaowajua ni wazee...
Ukifahamu na kuelewa ulichoandika utafuta, shukuru Mungu hizi fake ID zinafanya kupoteza utambulisho wetu, vinginevyo...
POLE SANA.
 
Ukifahamu na kuelewa ulichoandika utafuta, shukuru Mungu hizi fake ID zinafanya kupoteza utambulisho wetu, vinginevyo...
POLE SANA.
Kufuta kwa ubaya gani kusema unaowajua huenda ni wazee? Mi nimeishi nao ndo maana nakwambia hivyo..when it comes kwenye imani yao they are good ila haimaanishi hawafanyi mengine..they are just like everybody else. Halafu sijaelewa hapo mwishoni umenichimba biti ama niaje mzee au huangalii hata mtu kajiunga lini jf
 
Kufuta kwa ubaya gani kusema unaowajua huenda ni wazee? Mi nimeishi nao ndo maana nakwambia hivyo..when it comes kwenye imani yao they are good ila haimaanishi hawafanyi mengine..they are just like everybody else. Halafu sijaelewa hapo mwishoni umenichimba biti ama niaje mzee au huangalii hata mtu kajiunga lini jf
Hakuna biti uliyochimbwa maybe tafasiri yako imekupeleka positive, nilicho maanisha sicho, pole sana.
 
Inaendelea......

Kabla ya kwenda kisiwa cha Siza tulipita kwanza kwenye kakisiwa flani hivi kalikua kako jiran na Siza, kama kawaida tulifika guest moja hv kupumzika,kukabidhi hesabu kwa dokta na kuchukua dawa nyingine zilizokua zimeisha.

Nilisahau kuwaambia namna tulivyokua tunalipwa na dokta.Kila dawa ilikua ina bei yake ko ulikua unatakiwa uuze kwa hyo bei malipo yako ni pale ukiuza kwa bei zaidi.

Mfano dawa ni 3k wewe ukiuza 5k unapeleka 3k kwa dokta na inayobaki ni yako kwa kila dawa.nilikua naona ni kazi sana kushawishi watu wanunue lakin kuna muda ilikua inakubid uuze tu dawa kwa bei yake ila dokta alikua ana huruma alikua anachukua hela kidogo zinazo baki tunabaki nazo.

Kuhusu kula,nauli na kulala ilikua ni juu yake......siku hyo nakumbuka tulimkabidhi hesabu yake akachukua 90k tu nyingine alitupatia.

Nilimshaur rafiki angu hela nyingine tutume nyumbani ili wajue kua tuna wakumbuka na kweli tulienda kuzituma.nilitumia Sister 150k m_pesa rafik angu pia alituma kwao hela.Nilijisikia Amani kusaidia familia yangu ingawa walikua wanajiweza

Nilimkumbuka bby angu nikamua nimpooze na 10k ya soda maana alinambia nikirud nimlete nguo.Me nilikua naona jau kununua nguo za kike.

Usiku hatukulala vizuri kwenye ile guest maana Tax bed a.k.a kunguni walitushughulikia kisawasawa...aise kunguni ni noma yani wanakung'ata ukiwasha taa unaviona hvyo vinaishirizia kujificha.kulipo kucha ilibidi tuondoke bila kuuza chochote hapo.

Tulipanda boti za wavuvi ( mtumbwi ) mpk Siza.Kisiwa cha Siza nikizur sana kwanza mchanga wake tu mweupe kama wa baharini..

Tulitafuta guest tuka bahatisha lakin zilikua ni za mabati moja kwa moja ko joto lilikua ni balaa wakati wa mchana.

Baada ya kupumzika mchana wake tuka amua kuingia mzigoni.Tuliuza sana siku hyo...Niliingia kwenye mji mmoja hivi nilikuta watu ni wengi tu wamekaa nje ya vyumba vyao.nilifika nikaanza kupiga promo ya dawa na kweli baadhi yao walinunua lakin kama kawaida yangu tabia yangu iliendelea ( kwa wale walikuwa wanataka dawa ya kuacha pombe )...kuna Mama mmoja alikua ndani kalala, alitoka nje baada kunisikia na kisha aliniita chumbani mwake na mlango aliufunga.


Madaktari wanajua sana siri za wagonjwa wao aisee.Huyo mama alinambia matatizo yake na mumewe mpk akawa analia.Alikua na tatizo la uzazi maana mpk kwa umri huo mkubwa alikua hana mtoto...alinambia kuwa kashatumia kila madawa mpaka ya kienyeji.Nilishtuka sana alivua kanga yake na kunionyesha dawa iliyokua kiunoni mwake ( kama shanga hivi ) eti alipewa na Masai kuwa kila anapokutana kimwili na mume wake awe ameivaa ndo mtoto atapatikana.

Me nilikua kmya tu namsikiliza wakat huo begi nimeliweka mapajan ili asione mashine yng ilivyosimama.Ilibaki kidogo nimtafune yule Mama sema tu alisema yeye na mume wake wanaumwa Kaswende.ko ndo ikawa pona pona yangu.

Nilimpa dawa ya uzazi na kaswende baada ya kumpa ushauri wa kitaalamu ( cjui hata nilitoa wap yale maneno ya kumshaur yule Mama ) kisha nikaondoka baada ya kulipwa.nilmwachia namba za simu in case of danger aniombe ushauri.

Siku hyo mambo yalikua mazur sana kwetu.Usiku ulifika tukaenda hotelin kula.Dokta alituaga kuwa anaenda kumuona mgonjwa wake, sisi tulirudi wenyewe guest.

Kuna ugomvi ulitokea kwenye chumba kilichokua jiran yetu.Ni Kijana mmoja hivi alikua ni mwenyeji wa dar alikua kafata mzigo wa Dagaa.

Alikua anapigana na malaya wake.Malaya anadai 25k ni kwa bao moja na msela anataka walale mok asubui kwa hyo hyo hela.Walizichapa mpk kutona nje Binti alikua uchi jamaa yupi na boksa.

Me nilikua pemben nashuhudia ngumi mara nilishangaa mkono unanipapasa mgongoni kucheki ni ka dada poa kanataka kanipe huduma nilimuuliza bei akasema 15k tu mpk asubui me nilimwambia sina akasema nimpe niliyokua nayo

Nilienda kumgonga kwa buku tano tu.Nilichukua chumba kingine maana rafiki angu nae alikua na Dada poa moja mzuri sana ko yeye alimgongea kwenye hicho chumba tulicho book mwanzoni.

Kesho yake niliwai kumgongea rafiki angu mlango demu wake akasepa kisha tukaenda chumban mwa dokta kufanya ibada.saa moja tukaenda kusubiria boti itupeleke Kisiwa cha Izinga.

Wakat tunasubir bot alikuja yule Mama niliyemuuzia dawa ya kaswende na Uzazi kwanza niljua anazirudisha zile dawa kumbe alikua anataka tena dawa ya Kaswende kwa ajili ya Mume wake,nilimuuzia kisha bot ikaja tukapanda kuelekea Izinga

Katika sehemu ambayo biashara ilikua mbaya ni hapo izinga yaan mimi tu ndo niliuza dawa ya 10k Dokta alivyoona hivyo alidai tunarud msoma maana ka mmisi mkewe ....ko tulienda kusubiria bot za kurudi kakukuru.Bot zilikua ni shida siku hyo tulisubir sana mpk kakapita kamtumbwi kamoja kalikua kamendikwa ALI KIBA ubavuni.

Me nilisema sipand ule mtumbwi maana ulikua na abiria wengi ( madansa ) alafu pia ulikua mdogo na Hali ya hewa ilikua mby yn sana,mawimbi yalikua makubwa sana.

Nilijikuta tu nimepanda ile bot ila roho haikuepo kabisa nilikaa kimya siongei na mtu.Kuna dansa mmoja nilikaa nae alikua ana nyege siku hyo sema tu ndo tulikua kwenye mtumbwi.Yaan alikua fununua vipaja vyake ili nione mara ananipapasa tumboni lakin hisia ne ndo sina kabisa.


Nitarudi baadae kidogo.....
Mzee shukaaaaa
 
Ila nikwambie dogo holy holm kwa jinsi ninavyo wafahamu wasabato na misimamno yao tena mpaka kupewa ushemasi, kwa mienendo yako haukupaswa kuwa kiongozi.

Labda ndiyo imani yenu siku hizi, vinginevyo unachoelezea hapa mpaka 2016 'eti' ulikuwa kiongozi mmh!!.
Wako strict..huenda walimpa wakijua atajitwist
 
Yaani mtu wa kujitwist anapigania binti njiani tena na muumini mwenzake alafu jirani na kanisa kisha 'eti' wazee wanakuja nyumbani kwao kumpa pole na kumtakia afya njema 😂😬😬😥!.
Sijasoma ujue😀😀
 
Inaendelea.

Niwarudishe nyuma kidogo mwaka 2015 nahisi kwenye mwez wa kumi na moja Kanisan kulikua na uchaguzi wa WATENDA KAZI WA KANISA KWA MWAKA 2016....basi nilibahatika kuchaguliwa kuwa kupewa kazi ya ushemasi, ambao nilitumikia kwa miaka miwili mpk 2017.

Taarifa ya kuwa umechaguliwa kutumika hua anakuletea mtu ambae yupo kwenye Kibaraza cha Uchaguzi basi na mimi pia nililetea hyo taarifa nilishindwa kukataa ila nilikua sitaki kuwa shemasi maana ni kazi inayotakiwa uwe Mwaminifu kwa MUNGU.

Binafsi mimi nilikua bado sitoshi kuwa Shemasi nitashaur nan aache maovu wakati mimi ndo mtenda maovu, nitafariji nani wakat mimi tu nilikua nataka wakunifariji.Ila kazi nili ikubali tu ili nisimwangushe mleta taarifa na Kanisa.Ila nilikuwa nawaza washkaji zangu wakijua eti mimi ni shemas i watanionaje, ila nilisema potelea pote nitakua napiga kazi na mishe zangu nafanya.

December Bro wangu alitutembelea ( mtoto wa bamkubwa alie pata ajira ya Ualimu kati ya mwezi wa nne au tano mwaka huohuo...nilimuelezea huyu jamaa)

Basi ilikua ni msimu wa sikuku ya krismasi na mwaka mpya..siku ya Krisimasi ilifika home tulikua tupo wa tatu tu wengine walienda bush kuila sikuku huko.

Nilibaki mimi,huyo bro wangu na Mdogo wangu wa kiume......Basi bna siku hyo tulipanga kutoka viwanja jioni na bro wangu...kwa vile nilikua nimechaguliwa kuwa shemasi basi nilipanga siku ndo iwe ya mwisho kabisa kufanya starehe za kidunia ili nikiwa shemasi rasmi niwe mtu safi ( niliwaza hivyo akilini mwangu )...ila kumbe nilijikosea kuwaza hilo jambo.

Jioni ilifika tukaenda Hotel ya Setavin ipo town nilikua mimi na bro wangu.Niagiza kwanza Coca nikaanza kuipiga mdogomdogo bro nae hivyo hivyo.Mida ili vyozidi kwenda niliagiza Castle Lager mbili ili niziage vizur ( ndo bia nilikua naipenda ).Bro wangu yeye alichukua Kilimanjaro tatu ambazo zilimtosha kumlewesha ( Alikua kichwa panzi )

Nilivyomuona Bro kalewa alafu yeye ndo alikua boss nilimuomba Nauli niende Tembo viwanja vingine kwa Wahuni wangu kupiga gambe la mwisho mwisho....nilipewa 20k nikasepa nilimuibia 20k nyingine alikua ameiweka kwenye mfuko wa shati ila hakujua maana alikua kalewa.

Nilivyokua naenda Tembo beach nilipigiwa simu na msela wangu mmoja akinitaka niende Bwalo la Police maana alidai kumenoga....nilimtii nikamwambia dereva twende bwalo akatii.

Nilifika bwalo na kweli palikua kumenoga watu wengi mpk vitoto vidogo vilikuepo na ilikua ni night..

Nilipata demu mmoja hivi alikua ni mrefu alafu mkubwa ananizid umri ila alikua bdo binti....nilicheza nae na kupiga nae picha na mnyonya mate ( hizi picha ziliniletea shida kwa Mzee wangu ).nilipokuwa nacheza na huyo manzi kuna Chawa wangu mmoja alikuja kunitonya kuwa kuna wahuni wananiwinda waniteke simu ko niwe makini sana.

Na kweli kuna wahuni wa uswazi walikua wananisaka waniteke Simu.ilibidi nisepe japokua nilikua Tungi vby mno.Wahuni walikua wananivizia nje ya bwalo kuwa nikipita tu waniteke.Niliwapiga chenga nikachukua huyoo mpk home...nikalala

Tarehe 1 mwaka mpya nilipiga gambe la kutosha maana tarh 2 ( jumamos ilikua ni Ibada ya kuwekewa Mikono na WACHUNGAJI ) kwa ajili ya kuanza kazi rasmi.Nilipiga gambe mpk mida ya saa 8 za usiku ndo nikarud home kulala.niliamka saa 2 asubui uchovu kama wote niliingia kuoga fasta maana nilijua nimechelewa...kisha nikapanda boda mpk church bahat nzur mikono tuliwekewa kwenye saa sita.

Lakin cha kushangaza sasa hata baada ya kuwekea hyo mikono na kuwa shemasi gambe niliacha ndio lakin Wizi bado nilikua nao lakin sio sana...Ndo maana hata huko kisiwani nilikua najipatia pesa kiudanganyifu...


Kanisan kwangu walikosea kunichagua kuwa shemas maana kiukweli kabisa siku tosha kabisa kuwa kwenye hicho Cheo.

Nimeona niwasimulie ni Jinsi gan nilipewa hyo kaz kanisani....

Nitaendelea tena.
 
Ila nikwambie dogo holy holm kwa jinsi ninavyo wafahamu wasabato na misimamno yao tena mpaka kupewa ushemasi, kwa mienendo yako haukupaswa kuwa kiongozi.

Labda ndiyo imani yenu siku hizi, vinginevyo unachoelezea hapa mpaka 2016 'eti' ulikuwa kiongozi mmh!!.
Ni kweli kabisa siku paswa kuwa kiongozi kanisani ila sikuweza kukata kazi ilinibid niifanye
 
Huyo dokta kila mkifika maeneo anawaaga anaenda kuona mgonjwa wake....mbona hisia zinanishawishi kufikiria kua alikua anaenda kupiga matukio na yy
labda maana alikua anasema anaenda ku salimia wagonjwa wake mara ndugu zake
 
Kweli mganga hajigangi ukaogopa kaswende na dawa unazo...ila umenichekesha sana ulivoweka begi mapajani asione ulivokiwasha... Ila hiyo tour ilikua babkubwa navuta picha kama sio bongo yan ni mwendo wa boat na mitumbwi tu
bora hata ningekua nimetembea na ndomu siku hyo
 
Back
Top Bottom