Safi hii episode sio ndefu sana hazichoshi!!!Sehemu ya pili
Safari ilikuwa ya siku nzima mpaka majira ya saa sita usiku tukaingia jijini Dar es Salaam na mvua kubwa ikinyesha siyo ya kitoto, nilishuka kwenye basi stendi ikiwa ni Ubungo wakati huo na kutazama tazama huku na kule nikiwa sina hata mwamvuli
"Frank!" mara nikasikia ninaitwa kutazama pembeni alikuwa ni mwanamama mmoja nisiyemfahamu akinifuata
"naam!"
"karibu Dar!"
"asante shikamoo!" nilimsalimia, mtu mzima kiasi ila miaka arobaini mpaka arobaini na tano hivi kwa kumtazama haraka haraka
"unanifahamu?" aliniuliza akitabasamu bila kuitikia salamu yangu ya shikamoo'
"hapana bila shaka ni mama md...."
"ndiye mimi!" aliniambia mvua ikiwa kubwa kwelikweli
"ooh sawa!" nilitabasamu nikimpa mkono
"sasa hapa nyumbani kwenda saa hizi na mvua hii changamoto kwakweli na baba yako wala hayupo hapa tukachukue tu vyumba gesti mpaka kesho asubuhi sawa?!"
"sawa mama!" nilitikisa kichwa na kuongozana na mwanamama huyo mpaka kwenye gesti moja tukaulizia vyumba tukaambiwa kimebaki kimoja tu
"tutalala hicho hicho pamoja!" mwanamama huyo alimwambia mtu wa mapokezi ikabidi nishangae kidogo
"mama kula...!" kabla sijamalizia kauli yangu yule jamaa wa mapokezi akanikatisha
"mbona kijana kama ana wasiwasi hivi?" jamaa alimwuliza mwanamama huyo
"ni mwanangu huyu!" mwanamama huyo alijibu akipewa funguo ya chumba na kutangulia mbele nami nikiwa nimebaki nimesimama sielewi elewi......
Mwanamama huyo mke wa baba yaani mchepuko wake alitangulia mbele yangu nami nikiwa nipo nyuma yake, alikuwa kajazia kwelikweli yaani nyama nyama, na nyuma kafungashia matak** makubwa mpaka nikashikwa na hasira kutokana na kitendo anachokifanya baba
"baba amepata wapi ujasiri wa kumtuma huyu mama aje anipokee?!" nilijiuliza mwenyewe huku nikiwa nimejishika kiuno
"karibu!" mwanamama huyo aliniambia huku akiufungua mlango wa chumba tulichochukua ndani ya nyumba hiyo ya wageni (guest house)
"asante!" nilimwitikia tukaingia ndani ya chumba hicho mvua ikinyesha kweli kweli nje tena ya upepo
"utaoga?"
"hapana siogi na baridi hili!"
"mh hapana lazima ukaoge bila hivyo hautalala vizuri wala!" mwanamama huyo aliniambia akinishika mkono kuniinua akiwa hajui hasira nilizonazo juu yake nikabaki namtazama tu na kumwonyesha tabasamu kwa nje nikitikisa kichwa kukubaliana na suala lake hilo la kuoga ingawa sikuwa tayari kabisa, nilitembea kwenda kwenye bafu hilo la ndani kwa ndani lakini kabla sijaingia bafuni simu ya mwanamama huyo iliita akaipokea nami nikasimama nikijibanza ukutani kumsikiliza anazungumza na nani
"halow!" nilisikia sauti ambayo moja kwa moja niliitambua kuwa ni ya baba
"halow darling za kazi?" mwanamama huyo aliitikia kwa mahaba
"upo wapi?"
"Ubungo"
"kufanya nini saa hizi?"
"kumpokea mtoto!"
"mtoto?"
"eeh si mwanao Frank jamani umesahau kama amekuja leo?"
"sasa nani kakutuma kazi hiyo na nimekwambia saa ngapi kama anakuja leo Dar umejuaje??!"
"si nimeangalia tu kwenye simu yako nikasoma meseji?"
"unataka kuniudhi sasa Penina mambo ya familia yangu yanakuhusu nini, nilishamtuma ndugu yake akampokee sababu sikutaka Frank aje nyumbani agundue kama ninaishi na mwanamke mimi nitajibu nini kwa mama yake??!"
"samahani baba jamani mimi nimetamani tu kumfahamu kijana wako huyu nisamehe baba kama nimeingilia maswala yako ya kifamilia!"
"umeniudhi sana umejitambulishaje sasa?"
"nimemwambia tu mimi ni mama yako sasa nimfiche nini nitamficha mpaka lini yaani ina maana unataka iwe siri kati yangu na wewe tu ndo mapenzi gani hayo?"
"umeniudhi sana Penina aah!"
"samahani jamani!"
"umeniudhi nitajibu nini mimi kwa mke wangu??!!" baba alijibu na kumkatia simu mwanamke wake huyo mchepuko nami nikaingia bafuni kuoga lakini nikashindwa kuoga kwanza nikaegemea ukutani nikitafakari ninayoyaona
MAMA WA KAMBO*
*SEHEMU YA 01
Mpyaa
Basi lilianza safari ya kuelekea jijini Dar es Salaam nami nikiwa mmoja wa abiria tuliokuwa tumepanda, ikiwa ni safari yangu siyo ya mara ya kwanza kabisa kuelekea kwenye jiji hilo la kibiashara lenye kila aina ya starehe na maisha ya watu mchanganyiko kutoka kila kabila na kila mkoa, maana niliwahi kusoma kwenye jiji hilo shule ya bweni ya sekondari binafsi kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne mpaka nilipohamishiwa mkoani kwenye shule ya vipaji maalumu baada ya kuwa na ufaulu wa juu, hivyo jiji la Dar es Salaam nalijua ingawa siyo kwa sehemu kubwa maana nilikuwa natumia muda mwingi shuleni kutoka ilikuwa ni mara chache na kwa kibali maalumu au wakati mwingine ni kwa kutoroka tu
Nikiwa ndani ya basi ilibidi nimpigie baba ambae ndiye mwenyeji wangu ninayemtegemea jijini Dar es Salaam akiwa ni mtumishi katika ofisi moja ya serikali huku mama yangu akiwa ni mfanyakazi kwenye shirika moja la wakimbizi akiwa ni mtu wa kuhama hama mara nyingi kwenye vituo vya kazi
Simu ya baba iliita kwa sekunde kadhaa bila kupokelewa mpaka ikakata, nikajaribu kuipiga tena ikaita na safari hii ikapokelewa
"halow??!" sauti ilikuwa ya kike
"halow habari yako?"
"salama nani?"
"mimi ni Frank!"
"ooh Frank mwanangu??!!" mwanamke huyo aliongea nikashtuka kidogo
"ina maana baba anaishi na mwanamke mwingine?" nilijiuliza kimoyo moyo maana baba hakuwa ameachana na mama, ni mwaka huu tu baba amehamishiwa kikazi jijini Dar es Salaam lakini hapo awali alikuwa anaishi na mama wote mkoani
"Frank mwanangu??" aliuliza tena
"eeh shikamoo naongea na nani samahani maana namba hii niliyopiga ni ya baba?"
"mimi mama yako baba yako amesahau simu leo badala ya kuchukua ya kwake kajisahau kachukua yangu!"
"ooh sa...wa nilitaka kumwambia tu kuwa nipo kwenye basi njiani nakuja!"
"ooh karibu sana sana nitakuja kukupokea mimi baba yako yupo kazini utakapofika stendi kuu ya mabasi utaniambia sawa?"
"sawa!" nilimjibu nikakata simu nikishangaa tu na kubaki kinywa wazi
"mdogo wangu huendi kula?" mama mmoja jirani niliyekaa nae kiti kimoja akiwa na mtoto aliniuliza baada ya gari kusimama kwenye kituo cha kupata chakula
"hapana siwezagi kula njiani, nimetoka nimepiga supu kabisa!"
"ooh basi samahani nahitaji msaada wako kidogo"
"bila samahani!"
"unaweza kunisaidia kidogo kunishikia mtoto wangu nataka nikachimbe dawa kidogo?"
"haina shida!" nilimjibu mwanamama huyo ambae alinipa mtoto wake huyo wa mwaka mmoja hivi na miezi kadhaa, nikamnyanyua, nae akainuka taratibu huku akilishusha shusha gauni lake lililopanda juu na kuliweka vizuri akatoka kwenye kiti kuelekea nje maana gari lilisimama kila mtu hasa wanaume wakimkodolea macho mama huyo ambae alikuwa mnene na nyuma ana mitak** mikubwa kwelikweli mpaka kutembea anapata tabu, mimi nikabaki na mtoto wake wa kike niliyempakata
Baada ya dakika kama kumi gari likiwa limesimama kwenye sehemu ya wa watu kupata chakula mwanamama huyo akarudi ndani ya gari akiwa na vifurushi vya chakula
"karibu!"
"asante endelea tu!"
"sipendi hebu chukua!" alinilazimisha mpaka nikachukua chakula alichoninunulia
"asante sana!" aliniambia na ni kweli nilipojitazama kwenye suruali nilikuwa nimelowa chapa mwenyewe nikiwa sina hata habari
"oohooo!!" ilibidi tu nicheke
"Careen kwa nini umemkojolea anko, hujui kuongea kama yamebanwa, nakuchapa leo!?"
"wala usimchape mrembo wangu kajisahau tu!"
"ana makusudi huyu anaongea sana ngoja nikufute fute kaka yangu!" alitoa khanga
"acha tu!" niliipokea khanga na kujifuta futa mwenyewe akiendelea kumsema sema bintiye mpaka usingizi ulipowashika wote, mwanamama huyo akalala
Gari liliendelea kuchanja mbuga mpaka saa nne za usiku na mwanamama huyu mama Careen akanilalia begani akiwa usingizini nikataka kumshika nimsogeze lakini ikashinidikana ikabidi nimuache tu jioni ikiwa imeingia, akaaniwekea mkono wake kwenye suruali yangu kwenye zipu akiendelea kuuchapa usingizi tu, ikabidi niutoe taratibu na kuurudisha mahali pake
Karibu sana mkuu Enjoy the story!!Asante boss,ngoja niisome
Sehemu ya pili
Safari ilikuwa ya siku nzima mpaka majira ya saa sita usiku tukaingia jijini Dar es Salaam na mvua kubwa ikinyesha siyo ya kitoto, nilishuka kwenye basi stendi ikiwa ni Ubungo wakati huo na kutazama tazama huku na kule nikiwa sina hata mwamvuli
"Frank!" mara nikasikia ninaitwa kutazama pembeni alikuwa ni mwanamama mmoja nisiyemfahamu akinifuata
"naam!"
"karibu Dar!"
"asante shikamoo!" nilimsalimia, mtu mzima kiasi ila miaka arobaini mpaka arobaini na tano hivi kwa kumtazama haraka haraka
"unanifahamu?" aliniuliza akitabasamu bila kuitikia salamu yangu ya shikamoo'
"hapana bila shaka ni mama md...."
"ndiye mimi!" aliniambia mvua ikiwa kubwa kwelikweli
"ooh sawa!" nilitabasamu nikimpa mkono
"sasa hapa nyumbani kwenda saa hizi na mvua hii changamoto kwakweli na baba yako wala hayupo hapa tukachukue tu vyumba gesti mpaka kesho asubuhi sawa?!"
"sawa mama!" nilitikisa kichwa na kuongozana na mwanamama huyo mpaka kwenye gesti moja tukaulizia vyumba tukaambiwa kimebaki kimoja tu
"tutalala hicho hicho pamoja!" mwanamama huyo alimwambia mtu wa mapokezi ikabidi nishangae kidogo
"mama kula...!" kabla sijamalizia kauli yangu yule jamaa wa mapokezi akanikatisha
"mbona kijana kama ana wasiwasi hivi?" jamaa alimwuliza mwanamama huyo
"ni mwanangu huyu!" mwanamama huyo alijibu akipewa funguo ya chumba na kutangulia mbele nami nikiwa nimebaki nimesimama sielewi elewi......
Mwanamama huyo mke wa baba yaani mchepuko wake alitangulia mbele yangu nami nikiwa nipo nyuma yake, alikuwa kajazia kwelikweli yaani nyama nyama, na nyuma kafungashia matak** makubwa mpaka nikashikwa na hasira kutokana na kitendo anachokifanya baba
"baba amepata wapi ujasiri wa kumtuma huyu mama aje anipokee?!" nilijiuliza mwenyewe huku nikiwa nimejishika kiuno
"karibu!" mwanamama huyo aliniambia huku akiufungua mlango wa chumba tulichochukua ndani ya nyumba hiyo ya wageni (guest house)
"asante!" nilimwitikia tukaingia ndani ya chumba hicho mvua ikinyesha kweli kweli nje tena ya upepo
"utaoga?"
"hapana siogi na baridi hili!"
"mh hapana lazima ukaoge bila hivyo hautalala vizuri wala!" mwanamama huyo aliniambia akinishika mkono kuniinua akiwa hajui hasira nilizonazo juu yake nikabaki namtazama tu na kumwonyesha tabasamu kwa nje nikitikisa kichwa kukubaliana na suala lake hilo la kuoga ingawa sikuwa tayari kabisa, nilitembea kwenda kwenye bafu hilo la ndani kwa ndani lakini kabla sijaingia bafuni simu ya mwanamama huyo iliita akaipokea nami nikasimama nikijibanza ukutani kumsikiliza anazungumza na nani
"halow!" nilisikia sauti ambayo moja kwa moja niliitambua kuwa ni ya baba
"halow darling za kazi?" mwanamama huyo aliitikia kwa mahaba
"upo wapi?"
"Ubungo"
"kufanya nini saa hizi?"
"kumpokea mtoto!"
"mtoto?"
"eeh si mwanao Frank jamani umesahau kama amekuja leo?"
"sasa nani kakutuma kazi hiyo na nimekwambia saa ngapi kama anakuja leo Dar umejuaje??!"
"si nimeangalia tu kwenye simu yako nikasoma meseji?"
"unataka kuniudhi sasa Penina mambo ya familia yangu yanakuhusu nini, nilishamtuma ndugu yake akampokee sababu sikutaka Frank aje nyumbani agundue kama ninaishi na mwanamke mimi nitajibu nini kwa mama yake??!"
"samahani baba jamani mimi nimetamani tu kumfahamu kijana wako huyu nisamehe baba kama nimeingilia maswala yako ya kifamilia!"
"umeniudhi sana umejitambulishaje sasa?"
"nimemwambia tu mimi ni mama yako sasa nimfiche nini nitamficha mpaka lini yaani ina maana unataka iwe siri kati yangu na wewe tu ndo mapenzi gani hayo?"
"umeniudhi sana Penina aah!"
"samahani jamani!"
"umeniudhi nitajibu nini mimi kwa mke wangu??!!" baba alijibu na kumkatia simu mwanamke wake huyo mchepuko nami nikaingia bafuni kuoga lakini nikashindwa kuoga kwanza nikaegemea ukutani nikitafakari ninayoyaona
Sehemu ya tatu songa mbele
Niliishia kushusha tu pumzi ndefu na kuanza kuoga taratibu kwenye bomba la maji ya mvua, kisha nilipomaliza nikajifuta futa kwa taulo na kutoka nikiwa nimevaa bukta na vest ambavyo nilikuwa nimeenda navyo kabisa lakini nilipotoka bafuni nikamkuta mwanamama huyo Penina akiwa anavaa chup** akiwa amejifunga kwa khanga kwa juu nikashtuka na kusita kuendelea na safari nikizuga kutazama pembeni
"ooh umetoka kuoga sikujua unajisikiaje sasa?" alizuga aliponiona nimemkuta akiwa anavaa
"nipo vizuri kabisa!"
"nilikwambia mimi ukioga utajisikia vizuri!" alinijibu wakati huo huo mlango ukagongwa na nikataka kuufuata ili kuufungua akanizuia kwa ishara ya mkono akiwa ameshajifunga kitenge mabega wazi kisha akaenda yeye mwenyewe kuufungua mlango na alikuwa ni muhudumu wa nyumba hiyo ameleta chakula, viazi vya kukaanga (chipsi) na kuku wa kukaangwa wa kienyeji, akavipokea nikataka nimsaidie kuvipokea akakataa akanitaka nitulie akaandaa mwenyewe kila kitu na kunikaribisha kula
Tukaanza kula taratibu mimi na mwanamama huyo huku akinitazama
"Frank?!"
"naam!"
"kwani utamwambia mama yako?"
"kuhusu?"
"unachokiona kati yangu na baba yako?" aliniuliza nikashusha pumzi ndefu
"hapana!"
"usimwambie bwana nisikilize mimi baba yako anaogopa kweli yaani mama yako ni mtata sana anaonekana eeh?"
"kwanini unafanya unayoyafanya na wakati unajua kuwa baba yangu ameoa ana mke na familia?"
"kwani unafikiri aliponifuata baba yako aliniambia yote hayo wala hakuniambia mimi aliniambia alikuwa na mke ila wameachana kwa talaka mahakamani nami nikaona sawa maadam yupo tu mwenyewe kwa sasa nimkubalie tu"
"alisema amempa talaka mama?"
"ndiyo ila juzi juzi tu hapa ndo nikagundua kuwa ni muongo anawasiliana na mkewe na watoto ukiwamo wewe ndo nikaona picha yako kwenye simu nikasema kumbe nina mtoto mzuri hivi kwanini asije nikamwona siku moja, nilimwambia akawa anakataa kataa usije na hata safari hii umekuja kwa ajili yangu ni mimi niliyemkazania uje yeye akitaka uje ila usifikie nyumbani tuje kukuona juu kwa juu lakini mimi sikukubaliana na hilo maana wewe ni kama mwanangu pia"
Aliongea mwanamama huyo nikabaki nikitikisa tu kichwa huku tukiendelea kula, mara mwanamama huyo akachukua kipande cha nyama kwenye sahani yake na kutaka kunilisha nikakataa kwa kukwepesha uso wangu akanilazimishia ikabidi nile tu kipande cha nyama alichonilisha
"asante!"
"usijali Frank kama utakuwa na tatizo lolote niambie tu mimi nipo sawa?" mwanamama huyo aliniambia huku akinishika pajani
"haya!" nilimjibu, akatabasamu
"vipi saa hizi huitaji chochote kile?"
"yap asante!"
"kweli kabisa?"
"kweli mama!"
"kuwa huru tu Frank jamani unaogopa nini?"
"sihitaji kweli!"
"basi namimi nahitaji kitu kutoka kwako na ndiyo maana nikafanya juhudi zote ili uje huku Dar baada ya kufuatilia habari zako!"
"kitu gani?"
"usinikatalie tafadhali Frank na wala usinifikirie vibaya!" mwanamama huyo alianza kunipapasa taratibu kwenye zipu ya suruali yangu....
"mamaa?" nilimshangaa mwanamama huyo nikiushika mkono wake kuutoa
"Frank usinielewe vibaya tafadhali namimi mwanadamu!"
"umewahi kuniona wapi mbona hatujawahi kuonana??!" nilimwuliza mwanamke huyo huku nikiinuka na kusimama nikimwacha amekaa akinitazama na kunilegezea macho yake
Akajinyoosha na kuuvuta mkoba wake aliouweka kitandani kisha akaifungua zipu ya mkoba huo taratibu na kutoa picha nilipoitazama vizuri kumbe ilikuwa picha yangu mimi mwenyewe
"mara zote huwa natembea na picha yako Frank!"
"kwanini umenipendea nini mimi?"
"jinsi ulivyo sauti yako na kila kitu chako na ndomana nimefanya juu chini uje hapa ili nikuone kabisa na ni kweli sifa nilizozisikia siyo za uwongo nipe nafasi Frank" mwanamama huyo alinisogelea taratibu nyuma yangu na kunishika bega nikiwa nimemgeuzia mgongo natazama ukutani
Mtoto kiazi mama ndio kiazi cherema kabisaaa!!Sehemu ya tatu songa mbele
Niliishia kushusha tu pumzi ndefu na kuanza kuoga taratibu kwenye bomba la maji ya mvua, kisha nilipomaliza nikajifuta futa kwa taulo na kutoka nikiwa nimevaa bukta na vest ambavyo nilikuwa nimeenda navyo kabisa lakini nilipotoka bafuni nikamkuta mwanamama huyo Penina akiwa anavaa chup** akiwa amejifunga kwa khanga kwa juu nikashtuka na kusita kuendelea na safari nikizuga kutazama pembeni
"ooh umetoka kuoga sikujua unajisikiaje sasa?" alizuga aliponiona nimemkuta akiwa anavaa
"nipo vizuri kabisa!"
"nilikwambia mimi ukioga utajisikia vizuri!" alinijibu wakati huo huo mlango ukagongwa na nikataka kuufuata ili kuufungua akanizuia kwa ishara ya mkono akiwa ameshajifunga kitenge mabega wazi kisha akaenda yeye mwenyewe kuufungua mlango na alikuwa ni muhudumu wa nyumba hiyo ameleta chakula, viazi vya kukaanga (chipsi) na kuku wa kukaangwa wa kienyeji, akavipokea nikataka nimsaidie kuvipokea akakataa akanitaka nitulie akaandaa mwenyewe kila kitu na kunikaribisha kula
Tukaanza kula taratibu mimi na mwanamama huyo huku akinitazama
"Frank?!"
"naam!"
"kwani utamwambia mama yako?"
"kuhusu?"
"unachokiona kati yangu na baba yako?" aliniuliza nikashusha pumzi ndefu
"hapana!"
"usimwambie bwana nisikilize mimi baba yako anaogopa kweli yaani mama yako ni mtata sana anaonekana eeh?"
"kwanini unafanya unayoyafanya na wakati unajua kuwa baba yangu ameoa ana mke na familia?"
"kwani unafikiri aliponifuata baba yako aliniambia yote hayo wala hakuniambia mimi aliniambia alikuwa na mke ila wameachana kwa talaka mahakamani nami nikaona sawa maadam yupo tu mwenyewe kwa sasa nimkubalie tu"
"alisema amempa talaka mama?"
"ndiyo ila juzi juzi tu hapa ndo nikagundua kuwa ni muongo anawasiliana na mkewe na watoto ukiwamo wewe ndo nikaona picha yako kwenye simu nikasema kumbe nina mtoto mzuri hivi kwanini asije nikamwona siku moja, nilimwambia akawa anakataa kataa usije na hata safari hii umekuja kwa ajili yangu ni mimi niliyemkazania uje yeye akitaka uje ila usifikie nyumbani tuje kukuona juu kwa juu lakini mimi sikukubaliana na hilo maana wewe ni kama mwanangu pia"
Aliongea mwanamama huyo nikabaki nikitikisa tu kichwa huku tukiendelea kula, mara mwanamama huyo akachukua kipande cha nyama kwenye sahani yake na kutaka kunilisha nikakataa kwa kukwepesha uso wangu akanilazimishia ikabidi nile tu kipande cha nyama alichonilisha
"asante!"
"usijali Frank kama utakuwa na tatizo lolote niambie tu mimi nipo sawa?" mwanamama huyo aliniambia huku akinishika pajani
"haya!" nilimjibu, akatabasamu
"vipi saa hizi huitaji chochote kile?"
"yap asante!"
"kweli kabisa?"
"kweli mama!"
"kuwa huru tu Frank jamani unaogopa nini?"
"sihitaji kweli!"
"basi namimi nahitaji kitu kutoka kwako na ndiyo maana nikafanya juhudi zote ili uje huku Dar baada ya kufuatilia habari zako!"
"kitu gani?"
"usinikatalie tafadhali Frank na wala usinifikirie vibaya!" mwanamama huyo alianza kunipapasa taratibu kwenye zipu ya suruali yangu....
"mamaa?" nilimshangaa mwanamama huyo nikiushika mkono wake kuutoa
"Frank usinielewe vibaya tafadhali namimi mwanadamu!"
"umewahi kuniona wapi mbona hatujawahi kuonana??!" nilimwuliza mwanamke huyo huku nikiinuka na kusimama nikimwacha amekaa akinitazama na kunilegezea macho yake
Akajinyoosha na kuuvuta mkoba wake aliouweka kitandani kisha akaifungua zipu ya mkoba huo taratibu na kutoa picha nilipoitazama vizuri kumbe ilikuwa picha yangu mimi mwenyewe
"mara zote huwa natembea na picha yako Frank!"
"kwanini umenipendea nini mimi?"
"jinsi ulivyo sauti yako na kila kitu chako na ndomana nimefanya juu chini uje hapa ili nikuone kabisa na ni kweli sifa nilizozisikia siyo za uwongo nipe nafasi Frank" mwanamama huyo alinisogelea taratibu nyuma yangu na kunishika bega nikiwa nimemgeuzia mgongo natazama ukutani
Enjoy the story mkuu maza wa kambo hafai 🚮🚮!!Ndio natia timu hapa
"Niliendelea kumchokonoa huku akiendelea kulifyonza dudu langu na kwa mkono wake akiwa amezishika koroda zangu nami nikiyashika matak yake makubwa na kuyaminya minya na kuyapanua panua kisha nikalichomoa dudu langu kwa nguvu mdomoni mwake bila hiari yake karibia aning'ate kwa meno yake maana nililitoa kwa kushtukiza tu nikamwinua na kumsimamisha yeye kisha mimi nikachuchumaa na kupita katikati ya mapaja yake, safari hii yeye akiwa amesimama amepanua mapaja yake makubwa, taratibu nikaanza kumnyonya uch wake katikati ya mapaja yake na kidole changu cha kati kikiwa kimezama ndani ya mkun wake"
![]()


mbona umenyanyua mikonoNajuuutraaa kuisoma nikiwa kazini 😂😂😁🙌🙌!!mbona umenyanyua mikono