king mandela
Member
- Mar 30, 2014
- 21
- 3
Kaka unatisha
mkuu Link za hadithi zangu hizi hapa bonyeza tu hapoMziziMkavu naomba link ya hadithi zingine nimalize siku salama.
Sasa
wewe ulitaka Washiriki wawe akina nani wakristo au wayahudi? Acha kuleta Udini hapa mimi pia Muislam tena Maalim ninaitwa sasa
nimekuzidi hata wewe kielimu usilete Mambo ya Udini hapa kama huna kitu cha kuchangia bora usiandike kitu humu ndani tafadhali
Usiniharibie Hadithi yangu . Unajuwa ni nini maana ya neno hadithi? kama hujuwi nenda shule kwanza kamuulize Mwalimu wako ni nini
Maana ya neno Hadithi kisha ndio uje hapa kuleta ushindani wako wa mambo ya Udini nyamaza nina kuheshimu sana na wewe pia
niheshimu mimi asante.
Mimi ni Binadamu kama Binadamu wengine tu kukasirika ni kitu cha kawaida kwa sisi binadamu unapoudhiwa itabidi ukasirike mkuu.Duu mkuu kumbe huwa unakasirika
Mimi ni Binadamu kama Binadamu wengine tu kukasirika ni kitu cha kawaida kwa sisi binadamu unapoudhiwa itabidi ukasirike mkuu.
Samahani lakini...ila hii style ya quote episode nzima ya hadithi inachangia kwa kiasi kikubwa kutujazia saver!!
Afu kwa siye wengine tunaotumia simu kuaccess JF tena through JF app inatupa shida sana kufatilia episode mpya..
Nafikiri si vibaya ukareply kwa kutoquote...kama ujumbe wako mzizimkavu ataupata tu.
Asante