Hadithi: "Kivuli cheusi"

Hadithi: "Kivuli cheusi"

Mwanamke haaminiki kamwe. Usiache nafasi yoyote kujihatarisha ukitegemea mko pamoja na mwanamke. Huyu ni kiumbe hatari..toka enzi ya Hawa,Delilah, Esta.... Shughuli ya mwanamke ni uwanja wa fundi seremala, 6 × 6.
 
daaaah huyo Vanessa kabugi sana labda kama kivuli cheusi akiuwawa na hao polisi siku akitoroka jela sijui atajificha waapii? angemwacha waanze maisha mapyaa....
 
daaaah huyo Vanessa kabugi sana labda kama kivuli cheusi akiuwawa na hao polisi siku akitoroka jela sijui atajificha waapii? angemwacha waanze maisha mapyaa....

Umeona eeh? Waliokufa wameshakufa hata ukifanyaje hawatafufuka.....wangeanza tu maisha upya
 
Mwanamke haaminiki kamwe. Usiache nafasi yoyote kujihatarisha ukitegemea mko pamoja na mwanamke. Huyu ni kiumbe hatari..toka enzi ya Hawa,Delilah, Esta.... Shughuli ya mwanamke ni uwanja wa fundi seremala, 6 × 6.

Vanessa alikuwa kazini hakuwa kimalavidavi
 
Ulitaka vanessa afe Khantwe, acha moses na baba yake wavune walichopanda

Big up mizambwa

Vanesa hana shukran uyo... yaani kasahau kabisa kuwa Moses alikuwa na nafas ya kumuua toka mwanzo ila alimuacha... dah kweli vanessa wewe hufai..
 
Last edited by a moderator:
jaman nimeanza kuisoma leo na nimeimaliza nimeinjoy sana duu
 
Na ndipo moses aliposhtuliwa ghafla usingizini,pembeni yake alikuwa ameketi msichana mrembo Vanessa,"vip baby?mbona ulikuwa unahangaika sana usingizini??it was a nightmare,Moses alijibu!unajua sikutegemea kama utakubali kuwa wangu na kufunga nami ndoa,kulikoni umeamka mapema hivi??vip uchovu wa arusi umeisha??
 
Na ndipo moses aliposhtuliwa ghafla usingizini,pembeni yake alikuwa ameketi msichana mrembo Vanessa,"vip baby?mbona ulikuwa unahangaika sana usingizini??it was a nightmare,Moses alijibu!unajua sikutegemea kama utakubali kuwa wangu na kufunga nami ndoa,kulikoni umeamka mapema hivi??vip uchovu wa arusi umeisha??

Nahisi hii ni KIVULI CHEUSI S2...
 
Wakuu tuungane kumuomba mheshimiwa mizambwa aimalizie ile hadith ya WAKILI WA MOYO... make alituonjesha tu then akatukimbia..
 
bravo mkuu Mizambwa nimependa mtiririko wa story yako iko gud sana......humu jamvini kuna story znakaribia mwaka haziish wape darasa wasiwe kama walilazimishwa kuleta story zao jamvini...
 
Hv hadith nyingine nzur ip mliowap kuipitia
 
Back
Top Bottom