yaani haswaaaa!!!
Mimi siku ya kuzaliwa Tanzania wote walikuwa wanashereheka kuwa mtoto Mizambwa amezaliwa hivyo inakuwa ni mapumziko kunishangilia. hakuna kufanya kazi.
Siku ya ndoa yangu ni tarehe 14 october (Nyerere Day) hivyo Watanzania pia wanapumzika.
Sasa nina hofu kifo changu itakuwa siku ya Ijumaa kuu Dunia nzima wanaomboleza Mizambwa amekufa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
haha.. umetisha.