Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

The greatest victory is to subdue the enemy without fighting.
Gen Z wameshinda bila kutokea yaani
 
Kuna baadhi ya moderators nikana nao wamehongwa kwanini mada zote zinazohusu upande mwingine zinafutwa bila sababu
 
Tunasubiri Dakika za ら
Waandamanaji wako offside, alafu nyie mnafanya nn mtandaoni badala ya kuingia barabaran
Tunasubiri Dakika za nyongeza tuchomoe goli na tuongeze goli la ushindi maana dakika za majeruhi Maadui watakua wamejisahau kwa kujua wameshashinda mechi
 
Au ndo mnaandaa nyenzo za kuhifazia mali mtakazo zipora madukani
Mpira ni dakika 90 dakika bado zipo nyingii sasa hivi ndiyo kipindi cha kwanza dakika za mwanzo mwanzo, Subiri ifike dakika za 85 uko milango itakua wazi
 
Kimara iliyokuwa ikitegemewa hatimaye imeufyata wote kimya Leo CDF amecheza kama Vitinha🇹🇿
 
Jamani kama mlivyojionea hadi sasa hakuna mtu kufurukuta wala kujitikisa na nje hali ni shwari 100%. Au ndo tusubiri dakika za jioooooooooni GEN-Z Wafanye COMEBACK ya kibabe.
Kichwani una takataka
 
Daaah!! Kwa mbinde naona GEN-Z wameanza kurudisha magoli ila kwa kujikongoja...
Striker wangu CDF nakutegemea uzidi kuongeza magoli
 
Jamani kama mlivyojionea hadi sasa hakuna mtu kufurukuta wala kujitikisa na nje hali ni shwari 100%. Au ndo tusubiri dakika za jioooooooooni GEN-Z Wafanye COMEBACK ya kibabe.
Anayeongoza ni Abdul, CDF ni chawa tu kama chawa tu kama kina Wema, Mwijaku na Steve Mengele.
 
Jamani kama mlivyojionea hadi sasa hakuna mtu kufurukuta wala kujitikisa na nje hali ni shwari 100%. Au ndo tusubiri dakika za jioooooooooni GEN-Z Wafanye COMEBACK ya kibabe.
Mkuu umechemka kwa ulivyosema CDF anaongoza.

Kwa kifupi Gen Z wana 3 - SAMUYA 0

Hauwezi kusimamisha shughuli za kiuchumi nchi inapoteza mabilioni ukasema umefanikiwa.

Sasa jiulize Gen Z wanasema kesho wanaliendeleza bila kikomo ,je Samuya ataendelea kuwaweka wananchi wote lockdown? Mishahara ya kuwalipa hao wanajeshi/askari itatoka wapi?
 
Back
Top Bottom