Yaani kabisa unampa cdf ushindi kwa kutumia nguvu kubwa dhidi ya vijana wadogo wasio na silaha Wala mbinu zozote za medani ya vita. Uko sawa kwa head kweli?
Ukweli ni kwamba gen*z wameshinda maana kupitia wao:
1. Tumejua kwamba majeshi yetu hayana weledi wa kutofautisha social crimes, mass demonstration, military coup, revolutionary movements or panya rodi bandistry n.k. wao wanakurupuka tuu kutumia nguvu yote bila assessment.
2. Leo jiji limelala hakuna shughuli ya uchumi ya maana inayofanyika mjini hata kama ni mapumziko watu huwa wanaendelea na shughuli zao za kawaida.
3. Pressure pressure pressure, wakubwa wa selekale na vyombo vya ulinzi wamelala na viatu ni kama ilivyo kwa machokoraa wasio na makazi.
4. Kumbe maandamano ni threat kubwa kwa watawala slowly gen*z are learning to come up with best strategies while huyo unayemuita mshindi anaendelea na old mechanism ya kill to shoot.