Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

Hadi sasa Gan Z wanaongoza hakuna shughuli yeyote inayoendelea

Kama vyombo vya mabavu vyote vipo barabarani vinachoma pesa za umma, nani mshindi hapo? Leo wangekuwa kwenye club za ulaji wanatumbua kodi lakini genzee wamewakalisha standby mkao wa kukimbia nchi huko walipo!
 
Jioni upepo unaweza kugeuka 😂😂😂

1759674966546.jpg
 
Jamani kama mlivyo jionea hadi sasa hakuna mtu kufurukuta wala kujitikisa na nje hali ni shwari 100%. Au ndo tusubiri dakika za jioooooooooni GEN-Z Wafanye COMEBACK ya kibabe.
Kwahiyo CDF anapambana na wananchi wake mwenyewe wasio na mafunzo wala wembe???


😅😅😅😅😅
 
Unataka tufungue biashara zetu mje kupora mali zetu
Huoni kama Gen Z wanaongoza hadi sasa, serikali inapoteza mapato kiasi gani baada ya shughuli za uchumi kusinama na fedha wanatumia hovyo kurusha ma helkopta, kuzunguka na magari hovyo, kulipa polisi, wanajeshi na vyombo vingine vya usalama hili tishio haliishi leo tu na siku zijazo hiyo sio picha nzuri kwa serikali
 
CDF endelea kukaza, ili kuhakikisha vibaka wanajificha kwenye mwavuli wa maandamano leo hawalambi unga.
 
Anything you can't say NO to is your MASTER and you, its SLAVE.

Anayecheza kwenye mfumo wa mwingine ndo Kilaza.

JW chini ya CDF wako nje ya majukumu yao kwa Siku 3 mfululizo wanakaa na kulala Barabarani kufanya Majukumu yasiyo ya kwao (majukumu ya Polisi).

Masta wa mfumo huu ni Wananchi (Raia) sababu ndiye watakao amua ni lini JW chini ya CDF na Serikali itarudi kwenye utaratibu wao wa kawaida.
 
Back
Top Bottom