stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,434
- 15,247
Uko road na unachatNiko road muda huu mkuu.
Uko road na unachatNiko road muda huu mkuu.
Njoo huku nikupige pumb* uone kama sipo barabaraniIngia barabaran acha kudeka mtandaoni
Kwani road natembelea mikono?Uko road na unachat
Ata utukane wiki nzima haisaidii chochote, we ni muoga tu, kelele nyingi vitendo 0Njoo huku nikupige pumb* uone kama sipo barabarani
Utajua kama ni mikono ama miguu leoKwani road natembelea mikono?
Taarifa ikufikie. Niko barabarani 😎.Utajua kama ni mikono ama miguu leo
Minister wa kelele na mipasho za uandamanajiTaarifa ikufikie. Niko barabarani 😎.
Au ndo mnaandaa nyenzo za kuhifazia mali mtakazo zipora madukaniMO29 mlianza hivihivi halafu baadae mkapoteana
😂😂, Haya bhana!Minister wa kelele na mipasho za uandamanaji
Umeshachukua posho ya kuandamana😂😂, Haya bhana!
🤔🤔Umeshachukua posho ya kuandamana
Maana si mnalipwa mkiingia road
The clock is tickingNyie waelevu ingieni kati muicheze ngoma sio mnajiongelesha wakati mmejifungia ndani
Nan ametamka mkae ndani wakati tamko linasema kama huna shughuli za ulazima ndo ubaki nyumbaniKufungia watu ndani sio ushindi.
Kimsingi GENZ wamefaulu.
Kwa mwenye akíli ajitafakari
Unasema shughuli zisiendelee? Unajua tafasiri yake.?Bora shughuli zisiendelee lakini kuwe na amani.wahuni WANATAKIWA kudhibitiwa Kwa GHARAMA yeyote
La hashaMaana si mnalipwa mkiingia road