Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

Cyclopedia

Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
25
Reaction score
41
Jamani kama mlivyojionea hadi sasa hakuna mtu kufurukuta wala kujitikisa na nje hali ni shwari 100%. Au ndo tusubiri dakika za jioooooooooni GEN-Z Wafanye COMEBACK ya kibabe.
Baada ya Maandamano ya GEN-Z kufeli basi tuandae maandamano yenye lengo la kuipongeza serikali kwa kuendelea kudumisha na kuitunza amani ya nchi yetu.
 
Yaani kabisa unampa cdf ushindi kwa kutumia nguvu kubwa dhidi ya vijana wadogo wasio na silaha Wala mbinu zozote za medani ya vita. Uko sawa kwa head kweli?

Ukweli ni kwamba gen*z wameshinda maana kupitia wao:
1. Tumejua kwamba majeshi yetu hayana weledi wa kutofautisha social crimes, mass demonstration, military coup, revolutionary movements or panya rodi bandistry n.k. wao wanakurupuka tuu kutumia nguvu yote bila assessment.
2. Leo jiji limelala hakuna shughuli ya uchumi ya maana inayofanyika mjini hata kama ni mapumziko watu huwa wanaendelea na shughuli zao za kawaida.
3. Pressure pressure pressure, wakubwa wa selekale na vyombo vya ulinzi wamelala na viatu ni kama ilivyo kwa machokoraa wasio na makazi.
4. Kumbe maandamano ni threat kubwa kwa watawala slowly gen*z are learning to come up with best strategies while huyo unayemuita mshindi anaendelea na old mechanism ya kill to shoot.
 
Yaani kabisa unampa cdf ushindi kwa kutumia nguvu kubwa dhidi ya vijana wadogo wasio na silaha Wala mbinu zozote za medani ya vita. Uko sawa kwa head kweli?
Hata mm nimeshangaa Sana , nimeona kama vile dish la huyu mshikaji kuna wakati linayumba
 
Back
Top Bottom