Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Kwani hawana hisia au huko chini nako lockdown?Kuna watu wapo kwenye ndoa hawana tofauti na wewe kila mtu na chumba chake au mzigo mara moja kwa mwezi. Tukienda kwenye lock down kuna watu watatoka na divorce cases.
Sent using Jamii Forums mobile app