Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,812
- 6,327
Kuna watu wapo kwenye ndoa hawana tofauti na wewe kila mtu na chumba chake au mzigo mara moja kwa mwezi. Tukienda kwenye lock down kuna watu watatoka na divorce cases.Hiki kipindi kwa wale tulio single ila tuna michepuko ya kujipoozesha tunapataje shida
Kwa Sasa inabidi tuwe single kiukweli yaani
Sent using Jamii Forums mobile app