Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Kuna daladala zile za kwenda Chekereni yaani zinakimbia huku zinacheka.

(Njoo kule uone kitu cha yule rafiki yako wa Arusha)
me kipindi nipo huko nilikuwa napenda kupanda zile za LIVERPOOL.......
 
tehteh mkuu chuga sio dar usafiri mpaka upitie dirishani,na kupigana vikumbo....
huku daladala inakufuata ulipo sio dar unaifuata daladala.......,,
Daladala kukufuata ni kosa mtu ndio anafata bus acha umwinyi
 
Ndio maana nkamuambia jamaa mmoja kwamba arusha inahitaji coster maana watu wake wanachagua mno hawanaga haraka kiivo tunapenda kubembelezwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa machalii mmekuwa wamama hadi mbembelezwe nyie si masela? [emoji23][emoji23]
 
Unaweza kudhani anasema dar ni kila kitu labda anaishi Masaki,msasani,o'bay,ununio kumbe yuko zake uswahilini huko wanashindia miguu ya kuku.
Hawa ndio wa kwa mtogole, Vingunguti nao wanajisifu
 
Kuna daladala nimesahau jina ila nitaitafuta nilete na picha yake hapa, milango inafungwa kamba ya manila


Niliahidi leo nimeipata
Screenshot_2019-10-17-16-32-59.png
 
Back
Top Bottom