EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
OLASITIIvi io picha ya pili n arusha sehemu gani
OLASITIIvi io picha ya pili n arusha sehemu gani
Ivi io picha ya pili n arusha sehemu gani
Ivi wakisema majiji yapite mbele Arusha itapita
Unaweza kulipwa lakini si lazima ubembelezeeHmm 😂😂😂 yani upande gari yangu usinilipe nauli? Nitakuchapaa
Mkuu m naomba tu kujua dar ni kila kitu kwenye nn na nn basi sio kwamba ujitete ntajie tu una imply nn
Wacha uongo wewe kuna Coaster moja tu stendi ya kilombelo..Mkuu mara ya mwisho kwenda kilombero na stendi n lini maana sa hv coster xinaoperate kama daladala na watu wanapanda hizo kuliko daladala kama hapa stendi ndogo upande wa kutokea kwenda usa na ngaramtoni kuna coster mbili moja inaenda hafi kingori nyingine n kikatiti zikija hata iwe mchana watu wanakimbilia kuliko ambande daladala na zinajaa haraka maana watu wanaona n bora kuliko hiace kwanzia kubanana mpaka hewa m niko arusha kama mwezi tokea nimerudi ila sikuwa najua kuna coster maana n chache na zinabeba haraka watu hazilali stendi zaidi ya 10min ila jana nimekesha stendi ndogo ndio nkaona kama mbili na kuna za atomic za engutoto olasiti inshort kwenda ngaramtoni na kwenda chekereni na kijenge na majengo ndio sikuona coster zilizoanza izo root ila coster sa hv zipo na n dili kamausiku coster za moshi zinapiga root ya morombo na usa
Njoo mjini sa hv kama upo nikuoneshe m nlikuwa sijui kama ipo hata io moja ila ukikaa stendi unajua kuna kingori monduli iko ina masikio kuna ya olasiti atomic kuna engutoto kikatiti kuna morombo engutoto mkuu ee niko town hapa mianzini kama unaweza ibuka town tufanye survey kama hazizidi kumiWacha uongo wewe kuna Coaster moja tu stendi ya kilombelo..
Mm siko arusha ila niliwahi kuwepo miaezi iliyopita..Njoo mjini sa hv kama upo nikuoneshe m nlikuwa sijui kama ipo hata io moja ila ukikaa stendi unajua kuna kingori monduli iko ina masikio kuna ya olasiti atomic kuna engutoto kikatiti kuna morombo engutoto mkuu ee niko town hapa mianzini kama unaweza ibuka town tufanye survey kama hazizidi kumi
Itakua umefananisha Arusha na Kibondo mkuu.Mm siko arusha ila niliwahi kuwepo miaezi iliyopita..
Mkuu embu nitupie kipande cha mwisho cha hiyo movie hiyo hapo kwenye avatar yako, siku Ile sikupata nafasi ya kuangaliaKweli watanzania tumezoea shida mpaka zimekuwa kama sehemu ya utamaduni wetu. Ni hivi: town buses kwenye mji wowote huwa zinakwenda kwa ratiba maalum. Mfano ikipangiwa kuondoa kituo A saa moja na kufika kituo cha mwisho saa mbili, basi ni lazima ifuate hiyo ratiba. Haijalishi kama gari limejaa au lina mtu mmoja. Huu ndiyo mfumo wa mabasi ya mjini kote duniani. Hata Dar zamani enzi za UDA ilikuwa hivyo. Kinachotakiwa ni mamlaka kuhakikisha huu utaratibu unafuatwa. Kama mtu hataki basi akabebe samadi ambapo gari husubiri mpaka lijazwe!
Kweli mzee mtu ukiwa na coasters zinakimbiliwa na wateja na zinajaa mapema, na kuziacha hiace sema hiace wakianza kukosa wateja nao watahamia kwenye coasters na automatic vidaladala vitakwisha arushaWacha uongo wewe kuna Coaster moja tu stendi ya kilombelo..
Walioipa Arusha hadhi ya jiji ni wapumbavu kukuzidi?Ivi wakisema majiji yapite mbele Arusha itapita
Acha uongo, asiyekujua tu ndiye ataamini unachosema.Kwenye baadhi ya mambo ndio itabaki kuwa the best. na wala usiseme DSM ndio kila kitu
Me huko ndio home lakini sipapendi na baadhi ya mambo yake
Ungejua toka nizaliwe sijawahi kuiona wala kufika kibondo..Itakua umefananisha Arusha na Kibondo mkuu.
Basi itakua umefika kigoma.Ungejua toka nizaliwe sijawahi kuiona wala kufika kibondo..
Mbali na ujiji, Manyovu na kigoma kusini hakuna sehemu niliyofika zaidi mkoa huo.Basi itakua umefika kigoma.
😂😂😂😂 una nini leo.Acha uongo, asiyekujua tu ndiye ataamini unachosema.
Kuna daladala zile za kwenda Chekereni yaani zinakimbia huku zinacheka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una nini leo.
😂😂😂😂Kuna daladala zile za kwenda Chekereni yaani zinakimbia huku zinacheka.
(Njoo kule uone kitu cha yule rafiki yako wa Arusha)