Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Mz
Coaster kupotezeana muda tuu. Ukikuta coaster inapakia pale stendi ndogo na ukawa abiria wa kwanza itakuchukua dk 45 kujaa kama ni mchana. Na kusafiri hadi usa itakuchukua tena lisaa zima. Hiace inachukua dk 10-15 kwa mchana kusafiri hadi usa itachukua dk 30. Sababu kubwa ya coaster kuchelewa ni kubeba watu wengi zaidi ya hiace. Bora nipande Hiace sio coaster.
Mzee unaonekana ushazoea kukunja miguu na mgongo
 
Kweli watanzania tumezoea shida mpaka zimekuwa kama sehemu ya utamaduni wetu. Ni hivi: town buses kwenye mji wowote huwa zinakwenda kwa ratiba maalum. Mfano ikipangiwa kuondoa kituo A saa moja na kufika kituo cha mwisho saa mbili, basi ni lazima ifuate hiyo ratiba. Haijalishi kama gari limejaa au lina mtu mmoja. Huu ndiyo mfumo wa mabasi ya mjini kote duniani. Hata Dar zamani enzi za UDA ilikuwa hivyo. Kinachotakiwa ni mamlaka kuhakikisha huu utaratibu unafuatwa. Kama mtu hataki basi akabebe samadi ambapo gari husubiri mpaka lijazwe!
Mkuu watu wamezoea shida kweli aje moro aone raha ya coasters inaonekana kawa addicted na kukunja miguu na kupinda mgongo kwenye vipanya vya arusha
 
Tena katika jambo lililonishangaza nilipofika arusha kwa mara ya Kwanza basi ni hilo yaan nahisi vile vi hiace vilivyoondolewa dar ndo vikaletwa Arusha
Vihaice vya arusha vingi vilinunuliwa dar na moro baada ya kukosa soko la abiria moro na dar
 
Ni kama matatu za nairobi, utafikiri ni vyuma chakavu vinatembea barabarani
 
Vidude vya ngaramtoni huko ndio vya kujikunja, njiro sijawai ona vya dizain ile the same to kisongo, na hata moshono kama vipo ni kwa kiasi kidogo.

Kingine watu wa Arusha wanachagua gari hatari, sio kama dar abiria anaikimbilia gari 😂 watu wa huku mpaka wabembelezwe ndio wanasikia raha ya kupanda gari
Nilisikia kule moshi hata kulipa nauli lazima wabembelezwe, anaweza kuamua kulipa au kutolipa
 
Arusha coaster ni kwa watalii na vipanya ambavyo vinatolewa morogoro vinauzwa arusha kwa ajili ya abiria wa kawaida ,sema watu wawili wakianzisha kuja na coasters wengine wataiga mana coaster inabeba abiria wengi kwa trip moja, arusha inahitaji mabadiliko makubwa kwenye usafiri pia stand kubwa ile ni kimeo hata ile ndogo ya dar, naongea iv mana mi naishi moro na arusha njiro nikilinganisha usafiri mzuri moro kuliko arusha , mana moro hakuna vidaladala( vipanya) viliisha vyote ni mwendo wa coasters

Vimeisha lini? Me nimetoka huko mwaka jana. Me huwa naenda Moro kwa sis kule mzinga jeshini..uwiii Hiace ni mbovuuu kinoma, road vumbi tupu mko ndani ya gari lakini mnachafuka 😂😂
Maybe mabadiliko yawepo kwa huu mwaka maana ndio bado sijaenda
 
Coaster kupotezeana muda tuu. Ukikuta coaster inapakia pale stendi ndogo na ukawa abiria wa kwanza itakuchukua dk 45 kujaa kama ni mchana. Na kusafiri hadi usa itakuchukua tena lisaa zima. Hiace inachukua dk 10-15 kwa mchana kusafiri hadi usa itachukua dk 30. Sababu kubwa ya coaster kuchelewa ni kubeba watu wengi zaidi ya hiace. Bora nipande Hiace sio coaster.
Ina Arusha movement za watu sio kubwa wanazidiwa Na Morogoro
 
Vimeisha lini? Me nimetoka huko mwaka jana. Me huwa naenda Moro kwa sis kule mzinga jeshini..uwiii Hiace ni mbovuuu kinoma, road vumbi tupu mko ndani ya gari lakini mnachafuka [emoji23][emoji23]
Maybe mabadiliko yawepo kwa huu mwaka maana ndio bado sijaenda
Hata mi nilishangaa, eti Moro hakuna Hiece? Daah huko mzinga ndio balaa! Mpaka kule Bigwa, Pangawe, Mkundi etc ni mwendo wa vipanya tu!
 
1st class public transport hakuna kugombania siti
kama usafiri wa umma ni kupitia dirishani.....hata chuga ikiwa ni kijiji haina kwere kuliko kutumia dirisha kama mlango....
Tatizo ni porojo nyingi, nimekuuliza unanipa maelezo tofauti.
 
M nashangaa uzi wa usafiri ndani ya mji kuna mtu anakuja na comment kwamba dar ndio kila kitu sijaona spexial life yake zaidi ya kero za foleni na kuwaste time road afu huo msemo wa dar ndio kila kitu una imply kwenye nn na nn
Unaweza kudhani anasema dar ni kila kitu labda anaishi Masaki,msasani,o'bay,ununio kumbe yuko zake uswahilini huko wanashindia miguu ya kuku.
 
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
Naunga mkono hoja...
 
Kwa hatua ambayo imefikiwa na jiji letu la arusha ni muhimu kubadilishia aina ya usafiri. Daladala tunazotumia ni ndogo na zinabeba idadi ndogo ya watu kwa wakati mmoja jambo linalopelekea usafiri huu kuwa na kero za hapa na pale. Naona ni wasaa wa kuanza kutumia basi kubwa zaidi kama coaster angalao. Ukuaji wa jiji na miundombinu uende sambamba na usafiri wa umma ulio bora zaidi.
Wazo lako linaweza liwe zuri kama tutakuwa na utaratibu wa usafiri wa mzunguko (non-stop) mfano gari inaanzia majengo inazungukia Sakina Machinjioni inaelekea mjini ina rudi majengo kupitia barabara ya Dodoma road inarudi Sakina mjini tena bila kusimama popote kuongoja abiria wajae.
 
imgres.jpg


gres.jpg


nunueni HIACE PANK sio VIPANYA KAMA HIVI
 
Back
Top Bottom