Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Hadhi ya jiji la Arusha na daladala zake

Ivi wakisema majiji yapite mbele Arusha itapita

1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya
4 Dodoma
5 Arusha kamji kadogo sana... mijengo ya kizamani, barabara za hovyo kupishana tu mpaka uvae glass, waendesha bodaboda na magari wanarafu sana....In short hawana ustaarabu...kwakweli hawakustahili kupewa jiji basi tu serikali yetu iliwaonea huruma wasione wametengwa maana yasemekana hawa sio watanzania/Ndugu zetu, ni wakimbizi from nowhere
 
Nina unga mkono hoja kwa hadhi iliyonayo huu mkoa ,kwa pale mjini vile vipanya tena vifupifupi havistahili pale mjini ,wavipeleke nje ya mji.
 
Kw
Kweli mzee mtu ukiwa na coasters zinakimbiliwa na wateja na zinajaa mapema, na kuziacha hiace sema hiace wakianza kukosa wateja nao watahamia kwenye coasters na automatic vidaladala vitakwisha arusha
Ndio nnachomwambia
 
1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya
4 Dodoma
5 Arusha kamji kadogo sana... mijengo ya kizamani, barabara za hovyo kupishana tu mpaka uvae glass, waendesha bodaboda na magari wanarafu sana....In short hawana ustaarabu...kwakweli hawakustahili kupewa jiji basi tu serikali yetu iliwaonea huruma wasione wametengwa maana yasemekana hawa sio watanzania/Ndugu zetu, ni wakimbizi from nowhere
Haya bana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya
4 Dodoma
5 Arusha kamji kadogo sana... mijengo ya kizamani, barabara za hovyo kupishana tu mpaka uvae glass, waendesha bodaboda na magari wanarafu sana....In short hawana ustaarabu...kwakweli hawakustahili kupewa jiji basi tu serikali yetu iliwaonea huruma wasione wametengwa maana yasemekana hawa sio watanzania/Ndugu zetu, ni wakimbizi from nowhere
Hapo kwenye kutokuwa na ustaarabu nakuuonga mkono. Halafu pia kwenye kuvuka Barbara, yani wanavuka roughly bila kuzingatia Mataa
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo hamfati ustaarabu makusudi? Shauri yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] mm sina gari ila arusha n kiboko yani gari inaweza ikakupita hata miguuni naa tushazoea au uko zebra unavuka afu mwenye gari anataka usimame apite yeye kwanza
 
Hizi hiace Ni kiboko, siku ya kwanza napanda nilihofu sitoingia ndani, wabadilishe Tu hazina hadhi ya Jiji la kitalii
Ni kama wahusika hawajui kama Arusha ndio image ya nchi kwakuwa watalii wengi huingia Arusha na kurudi kwao bila kwenda Dar.
 
WEMDASLADE FREMAKETENGA USITUDISI ASI TUTAPINDUA DUNIA AXEE JOMBILADE
 
Kuna costa now moja mpyaa inaenda Hadi King'ori.asubuhi inapita Maji ya chai mida ya saa mbili kasoro daily
Coaster moja , jaman,.....naona Mwanza zimekuwa nyingi Sana, sjui Kwa sababu watu ni wengi
 
Back
Top Bottom