Hackintosh OSX ndani ya PC

Hackintosh OSX ndani ya PC

Habari JF wana tech, leo nawaletea updates za hackintosh (mackintosh operating system kwenye non apple computer au pc zetu za kawaida hp,dell,etc....).
Nilianzia mbali ila kwa sasa nimefika sehemu nzuri kwa ufupi system inafanya poa, kwa sasa natumia mac osx kama primary OS ingawa nimefanya dual booting ya mac na windows 7.

specification za system kwa sasa:

CPU hp compaq dc 5800
processor : core2duo 2.8ghz (nita upgrade kwenda quad core)
RAM : 5GB
HDD : 750GB
GPU : ATI radeon HD 5450 1GB

vinginevyo:
D-link 125 USB wireless adapter
microsoft HD 3000 webcam
Philips 19vl 18.5 inch LED monitor

Vyote hivyo vimeniwezesha kukamilisha hackintosh system kwa bei nafuu zaidi, kwa hyo wale wenye uhitaji wa apple system ila wanashindwana na bei hii ndo solution maana inafahamika bei za imac dukani ni $2000 na zaidi. kumbuka system hii inafanya yale yote ambayo ungehitaji kufanya kwenye imac au mac pro ie graphics design, photo editing, video editing, Animation etc vyote hivi vinafanyika.

hizi snaps za mashine yangu.::

Adobe photoshop cs6

Screen Shot 2014-01-09 at 9.55.27 PM.png


Adobe premire cc

Screen Shot 2014-01-09 at 9.49.04 PM.png


Adobe bridge

Screen Shot 2014-01-09 at 9.55.42 PM.png


Installed apps

Screen Shot 2014-01-09 at 10.02.31 PM.png


apps

Screen Shot 2014-01-09 at 9.44.23 PM.png


multi desktop (more than 1 working space)

Screen Shot 2014-01-09 at 9.45.00 PM.png


Movie playing

Screen Shot 2014-01-09 at 9.59.02 PM.jpg


System setting

Screen Shot 2014-01-09 at 10.00.47 PM.png


Folders


Screen Shot 2014-01-09 at 9.58.16 PM.png


Chrome

Screen Shot 2014-01-09 at 10.21.27 PM.png



JF for life

Screen Shot 2014-01-09 at 10.21.39 PM.png

thx
 
CPU hp compaq dc 5800
processor : core2duo 2.8ghz (nita upgrade kwenda quad core)
RAM : 5GB
HDD : 750GB
GPU : ATI radeon HD 5450 1GB


thx

mkuu nimedownload 10.5.7 kutokana na PC yangu kuwa na specs ndogo. Sasa unanishauri niweke partition ya Hacintosh kiasi gani ili itoshe? maana nina 160 tu. Na D: yangu ni 100GB na c ambayo ina Win 8.1 ni 48GB.
 
mkuu nimedownload 10.5.7 kutokana na PC yangu kuwa na specs ndogo. Sasa unanishauri niweke partition ya Hacintosh kiasi gani ili itoshe? maana nina 160 tu. Na D: yangu ni 100GB na c ambayo ina Win 8.1 ni 48GB.

Ukitaka kufanya dual booting ni vizuri ukawa na physical hdd mbili tofauti ukitumia moja inasumbua sana kuna asilimia ndogo sana ikakubali, kwa hyo nakushauri kama una extra hdd tumia hyo kwa mac. ukiwa nazo mbili anza ku install mac hakikisha ile hdd nyingine ya windows iko disconnected na ukianza kuweka windows disconect hdd ya mac hapo itakuwa poa.
 
Sasa mkuu ukiwa na hii ki2 c unabidi utafute program zake..maana haiingiliani na window..yaan huwez share software na wa2 wenye window
 
Sasa mkuu ukiwa na hii ki2 c unabidi utafute program zake..maana haiingiliani na window..yaan huwez share software na wa2 wenye window

Zipo software zake.
 
I've done this a couple of times and from my experience Thinkpad line of laptops(To be specific the X220) was the easiest one to install I've ever come accross. Almost everything worked out of the box, very very few things needed patches.
 
Maverick 10.9.0 mzigoni.
 
Hatimaye nimefanikiwa kui install OSX snow leopard 10.5.7 na 10.6.3 kwenye pc ya kawaida. niliamua kuchagua hizo version ingawa si latest sana kwasababu pc niliyojaribia ilikuwa na specification ndogo ni hp dc7600 SFF pentium 4 processor speed 3.0ghz Ram 4GB DDR2 HDD 250GB. Ilipiga mzigo fresh ingawa baadhi ya drivers zina kasumbwi hyo ni kwenye 10.5.7.
ktk version 10.6.3 drivers nyingi zilifanya kazi kuanzia audio,bluetooth,wifi,vga,ethernet n.k

Niliipenda user interface yake ni rahisi sana kutumia ipo verry simple na fast (just imagine kwenye p4) na pia apps zote basic kama chrome, firefox, vlc na nyengine nyingi zinapatikana.

Changamoto:
Unaweza fanya hata 10 attempt ku install ndo ikakubali kama huku chagua patches sahihi wakati wa installation.

hackintosh releases nilizotumia kujaribu:
Ideneb v1.5
IAtkos S3
Zote hizi zinapatikana kwenye torrents na kwa anayetaka kujaribu google itakusaidia kwa procedures zote.
Jaribio linalofuata ni kuinstall latest releases kwenye core i3 pc (desktop).
Mwenye swali, au kuongezea unachokijua ruksa.
Akhsanteni.


UPDATES:
Now i'm running Maverick OSX 10.9.0

pc specifications:
Model : HP dc 5800 sff
Processor : core2duo, 2.8ghz
Ram : 5GB
HDD : 500GB + 250GB
GPU : ATI RADEON HD 5450, 1GB
Wifi : Dlink Dwa 125 USB adapter
Webcam : Microsoft HD 3000 webcam


Pia nimefanya dual booting na windows 8.1.

*****@@@@****@@@@******
Leopard 10.5.x
Snow leopard 10.6.x
Lion 10.7.x
Mountain lion 10.8.x
Maverick 10.9.x

Zote hizi zilikubali kupiga kazi....

Unajua raha ya MAC ni gestures, kama unajua wapi naweza pata track pad inayoweza kufanya gestures na ina supportwindows basi mie naacha kutumia mac. Are you happy with the interface only au kuna raha gani kutumia os x kwenye pc?
 
I've done this a couple of times and from my experience Thinkpad line of laptops(To be specific the X220) was the easiest one to install I've ever come accross. Almost everything worked out of the box, very very few things needed patches.

Mkuu I dont enjoy hii kitu kwa pc at all sababu siwezi kutumia gestures kama ilivyo kwenye mac.
 
Mkuu I dont enjoy hii kitu kwa pc at all sababu siwezi kutumia gestures kama ilivyo kwenye mac.

Apparently I use a retina Macbook pro, and Thinkpad(s) have always been my favorite secondary Linux laptops... you are probably living in the past, you should checkout newer Thinkpads especially X1 carbon, or samsung series 9 etc... most laptops have evolved to include large trackpads and support gestures in almost all OS, not the same way mac does but usable enough... in Ubuntu for example u can set custom gestures using various tools e.g touch egg

But hey, gestures are useful (gimmicks to some), and to many power users the touchpad itself is a luxury than a necessity.
 
Apparently I use a retina Macbook pro, and Thinkpad(s) have always been my favorite secondary Linux laptops... you are probably living in the past, you should checkout newer Thinkpads especially X1 carbon, or samsung series 9 etc... most laptops have evolved to include large trackpads and support gestures in almost all OS, not the same way mac does but usable enough... in Ubuntu for example u can set custom gestures using various tools e.g touch egg

But hey, gestures are useful (gimmicks to some), and to many power users the touchpad itself is a luxury than a necessity.

I think ur the apple fan too, Mac book pro with retina display technology is very good and I use that too. U gestures simplifies a lot of work and time for people who use them I thin u know.

Thanks for recommending the pc with good tracking pad like the X1, I wont go for samsung since I have tried it and the pad is not that sensitive in gestures like Pinch to zoom and scroll.

I understand the essence of these power users like developers to use this platform in windows because there is a lot of compilers in mac and Google developers are using mac though they have conflicts but they find there is no where to run.

Guys should think of going for even the mac book air with retina display to get all full features of mac if the budget is small.
 
Unajua raha ya MAC ni gestures, kama unajua wapi naweza pata track pad inayoweza kufanya gestures na ina supportwindows basi mie naacha kutumia mac. Are you happy with the interface only au kuna raha gani kutumia os x kwenye pc?

Kuhusu trackpad (touchpad) mbona zipo laptop nyingi tu zina support gestures hata hizi lower end laptop wameweka hizo kitu. Ila mimi mouse tu inatosha hizo touchpad zenyewe naonaga zinanichosha tu.
 
Kuhusu trackpad (touchpad) mbona zipo laptop nyingi tu zina support gestures hata hizi lower end laptop wameweka hizo kitu. Ila mimi mouse tu inatosha hizo touchpad zenyewe naonaga zinanichosha tu.

Mkuu unatisha hiyo platform ni mwisho wa maneno yote ila kwenye games huwa tunarudi windows
 
Ungeandika na model ya laptop yako ingekuwa rahisi au google model ya laptop yako malizia na hackintosh mfano ""dell inspiron 15145 hackintosh""

mkuu kwa hii kitu inawezekana sumsang NP300E5X-A03
PROCESSOR Intel core i3-3110M CPU@ 2.40GHz
ram 6gb
hdd-500gb
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    8.3 KB · Views: 94
mkuu kwa hii kitu inawezekana sumsang NP300E5X-A03
PROCESSOR Intel core i3-3110M CPU@ 2.40GHz
ram 6gb
hdd-500gb

Nime update thread check hapo kwenye Hardware compatibility.
 
kaka h120 im very interested kujua hii kitu kiundani zaidi... ninapokuja kukwama kabla sijadownload anything ni kichwani kwangu najiuliza ni materials gani zinatakiwa kuaccomplish hili zoezi kiujumla kwa pc amyao drive yake iko wiped na iko tayari kwa kuwekewa osx.
-je nahitaji macbook pc? (macbook pro and whateve apple notebook)
-nahitaji distro gani ambayo ni universal au haitakataa pc yeyote (in my mind nilikuwa nafikiria niresh)
-je, nitahitaji drivers zozote au hizo patches na nitazipata wapi all in one?
-na kama nitahitaji macbook itatumika kufanya nini

kiujumla mkuu h120 post yako ni nzuri mno na very helpfull ila hukutueleza kuanzia mwanzo.. yaani pale mtu anapokowa na lapotp au desktop ambayo anataka iwe special na osx, anahitaji materials gani ili aacomplish zoezi zima bila kukwama kokota na incase akikwama awe na sollution in hand pasipo kurudi kwenye forum kuuliza , naomba hii list ya hizi necesities kaka. very nice post na nina dell E6400 2gb ram, 120 hdd nataka niidedicate kwa mac osx version yeyote ile as long as its linked to the apple servers i can upgrade or just upgrede manualy.. ashante mkuu, na nitashukuru zaidi kwa msaada wako.. @h120 l
NB: nimesoma post yote ndio nikauliza so usiniambie nirudi nyuma kwa maana nina uhakika hukuweka nilichouliza mkuu. shukran tena
 
kaka h120 im very interested kujua hii kitu kiundani zaidi... ninapokuja kukwama kabla sijadownload anything ni kichwani kwangu najiuliza ni materials gani zinatakiwa kuaccomplish hili zoezi kiujumla kwa pc amyao drive yake iko wiped na iko tayari kwa kuwekewa osx.
-je nahitaji macbook pc? (macbook pro and whateve apple notebook)
-nahitaji distro gani ambayo ni universal au haitakataa pc yeyote (in my mind nilikuwa nafikiria niresh)
-je, nitahitaji drivers zozote au hizo patches na nitazipata wapi all in one?
-na kama nitahitaji macbook itatumika kufanya nini

kiujumla mkuu h120 post yako ni nzuri mno na very helpfull ila hukutueleza kuanzia mwanzo.. yaani pale mtu anapokowa na lapotp au desktop ambayo anataka iwe special na osx, anahitaji materials gani ili aacomplish zoezi zima bila kukwama kokota na incase akikwama awe na sollution in hand pasipo kurudi kwenye forum kuuliza , naomba hii list ya hizi necesities kaka. very nice post na nina dell E6400 2gb ram, 120 hdd nataka niidedicate kwa mac osx version yeyote ile as long as its linked to the apple servers i can upgrade or just upgrede manualy.. ashante mkuu, na nitashukuru zaidi kwa msaada wako.. @h120 l
NB: nimesoma post yote ndio nikauliza so usiniambie nirudi nyuma kwa maana nina uhakika hukuweka nilichouliza mkuu. shukran tena

yeah nafikiri wengi wanatamani kujua kama ulivyosema mkuu.........
 
kaka h120 im very interested kujua hii kitu kiundani zaidi... ninapokuja kukwama kabla sijadownload anything ni kichwani kwangu najiuliza ni materials gani zinatakiwa kuaccomplish hili zoezi kiujumla kwa pc amyao drive yake iko wiped na iko tayari kwa kuwekewa osx.
-je nahitaji macbook pc? (macbook pro and whateve apple notebook)
-nahitaji distro gani ambayo ni universal au haitakataa pc yeyote (in my mind nilikuwa nafikiria niresh)
-je, nitahitaji drivers zozote au hizo patches na nitazipata wapi all in one?
-na kama nitahitaji macbook itatumika kufanya nini

kiujumla mkuu h120 post yako ni nzuri mno na very helpfull ila hukutueleza kuanzia mwanzo.. yaani pale mtu anapokowa na lapotp au desktop ambayo anataka iwe special na osx, anahitaji materials gani ili aacomplish zoezi zima bila kukwama kokota na incase akikwama awe na sollution in hand pasipo kurudi kwenye forum kuuliza , naomba hii list ya hizi necesities kaka. very nice post na nina dell E6400 2gb ram, 120 hdd nataka niidedicate kwa mac osx version yeyote ile as long as its linked to the apple servers i can upgrade or just upgrede manualy.. ashante mkuu, na nitashukuru zaidi kwa msaada wako.. @h120 l
NB: nimesoma post yote ndio nikauliza so usiniambie nirudi nyuma kwa maana nina uhakika hukuweka nilichouliza mkuu. shukran tena

Pamoja kaka. Nime update thread na guides from macbreaker.com zinatoa mwangaza kidogo pa kuanzia. Nitaendelea kuweka helpful guides kutoka site husika za hackintosh. Pia usimsahau uncle GOOGLE ni msaada mzuri sana.
Thnx.
 
Pamoja kaka. Nime update thread na guides from macbreaker.com zinatoa mwangaza kidogo pa kuanzia. Nitaendelea kuweka helpful guides kutoka site husika za hackintosh. Pia usimsahau uncle GOOGLE ni msaada mzuri sana.
Thnx.
shukran sana mkuu, yani maelezo yako self explanatory nimeelewa sasa najua kila element ninayohitaji kuwa nayo before any instalation, shukran sana, na pia hackintosh inaruhusu kwenda kwenye appstore ya mac bila vikwazo vyovyote au store itakuwa hainitambui kaka??
 
Back
Top Bottom