x4rgs
Member
- Nov 11, 2017
- 41
- 55
They are not even professionals, using Php Object Injection it just nonsense. Wakae kwa darasa upya.
Nani hao ambao sio professionals?
They are not even professionals, using Php Object Injection it just nonsense. Wakae kwa darasa upya.
naskia wameihack hata site ya tcu cjui ni site ya Programmes Management System
Aiseenaskia wameihack hata site ya tcu cjui ni site ya Programmes Management System
Mbona web site ya chuo ipo online
Wanazingua, unaweza kuingilia system... Nenda ka hack Voda au Tigo chukua mitonyo m-pesa au Tigo pesa then kafanye bussness. Ka hack NMB iba mitonyo.. Unapambana ili uajiriwe. Ajira ni udwanzi tuhackers kutoka Tanzania waingilia tovoti ya universtiy of dar es salaam kitengo cha aquatic
wanadai serikali inawasomesha lakini ajira wanapeana kindugu na zoezi hili ni endelevu
aquatic.udsm.ac.tz
Na wasiwasi na hilo neno ASEE a clue for the unsubhao UDSM ndo hawana habari kabisa bora Open University of Tanzania wameiweka Off tovuti yao baada ya ku hackiwa na mtu ambae nafikiri ni yule yule!
Na mimi naomba kumuunga mkono alosema kwa "uhandishi tu wa mdukuzi huyu,hadhani kama anaweza ajiriwa sehemu yoyote"
Kama anao uwezo asingekua na hizo fikra za kuajiriwa kiasi cha kuweza kuzi display mpaka pale alipo Dukua!