Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Kupiga pesa tena
Hivi nini kilimrudisha bongo?
Hivi nini kilimrudisha bongo?
Hata yeye katiba inasema kwa makosa aliyofanya kabla ya kuwa Rais anastahili kushtakiwa nayo.
Akitoka madarakani wanaye!View attachment 1228328
🤣Anaumbuka nini? Fatuma akiacha uwakili anakula Pensheni ya baba yake ambayo ni kodi yako wewe na kizazi chako
Wewe na Muhongo nani yupo sawa? Wewe kama ni raia mwema ulikuwa wapi wakati upinzani unapiga kelele kuhusu hizo pesa na mawaziri wa CCM wote wakasema hizo hazina uhusiano na serikali. Unakula matapishi yako wewe. Jaribu kusoma past documentation ya hili swala kabla hujaja na short phrases zako ambazo hazielezi chochote. Hapa ni Forum ya Thinkers siyo wale wa kusema ndiyo likaenda.Alipe mapesa yetu huyo fisadi
Kweli tamaa mbayaKupiga pesa tena
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiKumbe bado waandika tu.
You are killing people, confiscating their properties/money, and yet celebrating....Complete idiots!
watakuwa wanakataza watu huko wasijimwambafyWaliochota nae hela za escrow wako wapi.?
mlijimwambafy wakati was jk kwa jiwe NO kabisaYou are killing people, confiscating their properties/money, and yet celebrating....Complete idiots!
Ni lazima wazitapike! Tanzania haitachezewa tena. Labda watetezi wa mafisadi mchukue nchi.You are killing people, confiscating their properties/money, and yet celebrating....Complete idiots!
Asante Kaka Wakudadavua kwa taarifa hii, kiukweli kabisa, rais Magufuli atabarikiwa sana kwa wema huu anaoutenda kuwapunguzia mateso watu hawa.Habari mpasuko View attachment 1228310
alidhani yule jamaa mnyenyekevu asiyejimwambafy atamsaidia.Hivi nini kilimrudisha bongo?
Thats our moneyYou are killing people, confiscating their properties/money, and yet celebrating...