Walipata mgao wa ESCROW huo ni ukweli hata kama tunamuheshimu shangazi yetu lakini lazima ukweli usemweHuyo dada anahusika vipi na na hii political game?
Safari moja huanzisha nyingine.Kafanya la maana Sana akitutajia aliowagawia rushwa na kutupatia vielelezo wamwachie maramoja, tkkr mtumieni huyu Kama shahidi namba moja.
Duh...mtu mwenye miaka 52 ni dada? labda kama wewe kikongwe mwenzake.Huyo dada anahusika vipi na na hii political game?
Alisema ataitoa kupitia matundu yaliyopo mwilini mwake, sasa sijui ni matundu gani?Magu alisema, yoyote aliyekula pesa ya serikali basi ataitema kwa njia yoyote ile!
Hahahaaaa....... Pinda ndiye anayetambulika!Umwambafy
Keshagoma kitambooo, kupitia kwa wakili wake Jebraaisee mzee rugemalila sijui atajinasuaje
Namshauri akalime mwami Pemba uwakili haulipi tena