usiangaike mkuu,hayo ni maneno ya wanamagamba kutaka kutugawa, Zito sio mtu wa kusemewa wala hizo sifa wanazompa,hazimbadilishi mawazo, ni wanamagamba tu,ndio wanaweza kulewa na sifa hizo, wanachadema ni watu makini,wamejipanga kukomboa nchi hii kutoka mikononi mwa MagambaHabari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana ccm nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame chadema agawe chama. Sidhani kama zitto anampita dr slaa hata kumkaribia
hizo ni poropaganda za wanamagamba, Zito sio mtu wa kusemewa,huo ni mpango wa kutuaribia list yetu ya ushindikuna mtu anayalipa magazeti ili aendelee kuandikwa kila siku...ni wazi hakuna anayempenda zito kwa sasa.
Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana ccm nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame chadema agawe chama. Sidhani kama zitto anampita dr slaa hata kumkaribia
you are a GREAT THINKER.HILO NDIO LENGO LAO HASA!Sidhani kama nia yao ipo kwenye kumtaka ahame chadema. Bila shaka umewasikia akina Nape na Le Mutuz pia wakimsifia Zitto, lakini kwa imani yangu ni kwamba wanataka kuwachanganya CHADEMA ili wamteue Zitto kwenye nafasi ya Urais na kumwacha Slaa, na hilo litakuwa ni kosa la kiufundi litakalo iwezesha CCM kushinda kiurahisi. Hakuna lingine. CCM na washirika wake wote vikiwemo vyombo vyao vya habari vinamugwaya Slaa kwa sana. Kwa hiyo ni lazima watafute njia ya ziada ya kuiingiza CHADEMA mkenge ili wamuweke mtu ambaye ni rahisi kwao. Nilishasema hapo zamaini, ukiona mpinzani wako anakusifia, ujue wewe si lolote wala si chochote.
Bwana tuondolee udaku wa Masalia. Tujadili ya maana
Non Sense...Habari Leo ni sawa na magazeti ya Udaku tu.
Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana ccm nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame chadema agawe chama. Sidhani kama zitto anampita dr slaa hata kumkaribia
Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana ccm nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame chadema agawe chama. Sidhani kama zitto anampita dr slaa hata kumkaribia[/QUOT
hakuna zaidi ya zitto ndani ya cdm anaeweza kushinda urais, slaa aka babu ameisha zeeka na akili zinazeeka pia
Sidhani kama nia yao ipo kwenye kumtaka ahame chadema. Bila shaka umewasikia akina Nape na Le Mutuz pia wakimsifia Zitto, lakini kwa imani yangu ni kwamba wanataka kuwachanganya CHADEMA ili wamteue Zitto kwenye nafasi ya Urais na kumwacha Slaa, na hilo litakuwa ni kosa la kiufundi litakalo iwezesha CCM kushinda kiurahisi. Hakuna lingine. CCM na washirika wake wote vikiwemo vyombo vyao vya habari vinamugwaya Slaa kwa sana. Kwa hiyo ni lazima watafute njia ya ziada ya kuiingiza CHADEMA mkenge ili wamuweke mtu ambaye ni rahisi kwao. Nilishasema hapo zamaini, ukiona mpinzani wako anakusifia, ujue wewe si lolote wala si chochote.