HabariLeo laumbuka; vabaraka wa CCM chali

Alfu Lela Ulela

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
1,255
77
Baba mzazi wa kijana Ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko Arusha, katika mapambano kati ya Jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka mwili wa mwanae viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya kumuaga.

Mzazi huyo amesema uamuzi wa kupeleka mwili huo viwanjani NMC ulikuwa ni uamuzi wa familia na hakukuwa na shinikizo lolote kutoka nje ya familia kama ilivyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo awali.

"Yalikuwa ni maamuzi ya familia kuwa mwili wa Ismail upelekwe viwanjani kuagwa na hakukuwa na shinikizo lolote kama inavyodaiwa." alisema mzazi huyo na kuongeza
"Tuliamua kufanya hivyo ili kuuonesha ulimwengu ukiukwaji haki uliyofanywa na jeshh la polisi"

Taarifa hii inakuja siku chache baada ya kuenea uvumi kuwa wazazi wa Ismail walishinikizwa kupeleka mwili wa marehemu viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya mazishi.

Uvumi huo ulizidi kupaizwa na vyombo vya habari (likiwemo gazeti la HabariLeo) na kukihusisha chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusika kuishinikiza familia kuileta maiti ya Ismail uwanjani NMC.

Kwa maana hiyo taarifa ya mzazi wa Ismail inakisafisha chama cha CHADEMA kutokana na kupakaziwa na kuchafuliwa na taarifa za uvumi zilizotolewa awali.

Vilevile taarifa hii inaonesha wazi namna baadhi ya watu wenye nia mbaya (kwa kutumia gazeti la HabariLeo) wanavyopika habari na kuzivumisha, huku wakichafua wengine kwa alili ya maslahi yao wenyewe.

Pongezi kwa mzazi wa Ismail aliyeamua kueleza ukweli. Pongezi CHADEMA kwa kuruka kiunzi cha kutaka kuchafuliwa kwenye kazi njema mliyoianza.

SOURCE:Radio One.
 
baba mzazi wa kijana ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko arusha, katika mapambano kati ya jeshi la polisi na wafuasi wa chadema amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka mwili wa mwanae viwanja vya nmc kwa ajili ya ibada ya kumuaga.

mzazi huyo amesema uamuzi wa kupeleka mwili huo viwanjani nmc ulikuwa ni uamuzi wa familia na hakukuwa na shinikizo lolote kutoka nje ya familia kama ilivyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo awali.

"yalikuwa ni maamuzi ya familia kuwa mwili wa ismail upelekwe viwanjani kuagwa na hakukuwa na shinikizo lolote kama inavyodaiwa." alisema mzazi huyo na kuongeza
"tuliamua kufanya hivyo ili kuuonesha ulimwengu ukiukwaji haki uliyofanywa na jeshh la polisi"

taarifa hii inakuja siku chache baada ya kuenea uvumi kuwa wazazi wa ismail walishinikizwa kupeleka mwili wa marehemu viwanja vya nmc kwa ajili ya ibada ya mazishi.

uvumi huo ulizidi kupaizwa na vyombo vya habari (likiwemo gazeti la habarileo) na kukihusisha chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuhusika kuishinikiza familia kuileta maiti ya ismail uwanjani nmc.

kwa maana hiyo taarifa ya mzazi wa ismail inakisafisha chama cha chadema kutokana na kupakaziwa na kuchafuliwa na taarifa za uvumi zilizotolewa awali.

vilevile taarifa hii inaonesha wazi namna baadhi ya watu wenye nia mbaya (kwa kutumia gazeti la habarileo) wanavyopika habari na kuzivumisha, huku wakichafua wengine kwa alili ya maslahi yao wenyewe.

pongezi kwa mzazi wa ismail aliyeamua kueleza ukweli. Pongezi chadema kwa kuruka kiunzi cha kutaka kuchafuliwa kwenye kazi njema mliyoianza.

source:radio one.

polisi wauaji wanahaingaika na vivuli vyao. Hawana mandate ya kuua. Wajifunze tunisia. Deus kibamba aliwaeleza kwenye kipama joto waandae makontena ya risasi lakini watachemsha kwa nguvu ya umma.
 
polisi wauaji wanahaingaika na vivuli vyao. Hawana mandate ya kuua. Wajifunze tunisia. Deus kibamba aliwaeleza kwenye kipama joto waandae makontena ya risasi lakini watachemsha kwa nguvu ya umma.

Deius Kibamba ni mchambuzi mahiri sana, mimi upenda jinsi anavyochambua maswala ya kisiasa/uchumi. Tafadhali nifahamishe kama kipindi hicho cha kipima joto kina marudio na lini? Natanguliza shikurani.
 
Baba mzazi wa kijana Ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko Arusha, katika mapambano kati ya Jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka mwili wa mwanae viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya kumuaga.

Mzazi huyo amesema uamuzi wa kupeleka mwili huo viwanjani NMC ulikuwa ni uamuzi wa familia na hakukuwa na shinikizo lolote kutoka nje ya familia kama ilivyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo awali.

"Yalikuwa ni maamuzi ya familia kuwa mwili wa Ismail upelekwe viwanjani kuagwa na hakukuwa na shinikizo lolote kama inavyodaiwa." alisema mzazi huyo na kuongeza
"Tuliamua kufanya hivyo ili kuuonesha ulimwengu ukiukwaji haki uliyofanywa na jeshh la polisi"

Taarifa hii inakuja siku chache baada ya kuenea uvumi kuwa wazazi wa Ismail walishinikizwa kupeleka mwili wa marehemu viwanja vya NMC kwa ajili ya ibada ya mazishi.

Uvumi huo ulizidi kupaizwa na vyombo vya habari (likiwemo gazeti la HabariLeo) na kukihusisha chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusika kuishinikiza familia kuileta maiti ya Ismail uwanjani NMC.

Kwa maana hiyo taarifa ya mzazi wa Ismail inakisafisha chama cha CHADEMA kutokana na kupakaziwa na kuchafuliwa na taarifa za uvumi zilizotolewa awali.

Vilevile taarifa hii inaonesha wazi namna baadhi ya watu wenye nia mbaya (kwa kutumia gazeti la HabariLeo) wanavyopika habari na kuzivumisha, huku wakichafua wengine kwa alili ya maslahi yao wenyewe.

Pongezi kwa mzazi wa Ismail aliyeamua kueleza ukweli. Pongezi CHADEMA kwa kuruka kiunzi cha kutaka kuchafuliwa kwenye kazi njema mliyoianza.

SOURCE:Radio One.

Hivi mhariri wa gazeti hilo anajisikiaje anapomwona Baba Mzazi wa marehemu akieleza kinyume na alivyoandika!!! Ama kweli siku ya kufa nyani......
 
me nadhani habari leo na dailynews wangeungana na kampuni ya ile ya global publishers kuendelea na shughuli za habari za udaku.......................they av fineshed,hivi hadi leo hii kuna mtu bado ananunua hayo magazeti???
 
me nadhani habari leo na dailynews wangeungana na kampuni ya ile ya global publishers kuendelea na shughuli za habari za udaku.......................they av fineshed,hivi hadi leo hii kuna mtu bado ananunua hayo magazeti???

Wazo zuri mkuu.
Ila nadhani kabla hawajaungana na hiyo kampuni dada ya udaku, washtakiwe kwanza.
 
Ndo uzuri wa mali za serekali, linunuliwe lisinunuliwe, mshahara ni palepale! Kaa ofisini hakuna haja ya kukusanya habari, msifu Kikwete mtukane Slaa!
 
Seiously, waandishi wote wa habari kama mna maadili katika taaluma yenu tafadhali sana zingatieni.
Uandishi na upotoshaji wa namna ni rahisi sana lakini madhara yake ni makubwa. Acheni kushabikia vyama iwe CCM, CDM, CUF nk. Walichofanya Habari Leo ni aibu kwa taaluma ya uandishi, wasimame na kukemea....hivi hawana Baraza lao Walikosajiliwa ambako mkondo wa nidhamu unaweza chukua nafasi?
 
polisi wauaji wanahaingaika na vivuli vyao. Hawana mandate ya kuua. Wajifunze tunisia. Deus kibamba aliwaeleza kwenye kipama joto waandae makontena ya risasi lakini watachemsha kwa nguvu ya umma.

hili gazet wenzangu huwa mwalisoma?
 
Hizo zilikuwa hasira za ufisadi wao wa kushindwa kuzuia maiti kufika uwanjani. Nilikuwepo, niliona, na nilipost thread kuhusu kadhia hii
 
Back
Top Bottom