Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Hiyo Baulu ni nini?Sasa mbona najisi tupu?
Vinyesi vitupu plus baulu ya asubuhi.....al baulu nao ni uchafu tu.
Hiyo Baulu ni nini?Sasa mbona najisi tupu?
Vinyesi vitupu plus baulu ya asubuhi.....al baulu nao ni uchafu tu.
Baulu ya asubuhi ni nini mkuu tunachanganyana au una maanisha bao?
Huwezi kumuona JINNI Live unless ufanye au uwe umefanya vitu vya kufuru mnoNaomba utaratibu nikitaka kumuona jini natumia njia gani maana nataka ku prove kama kweli kuna viumbe tofauti na binadamu vina ishi.
Elimu nimejifunza vitabu mbalimbali na waalimu mbalimbaliNa wewe hichi kitu umepata wapi???
Kuchunuku=Kutunuku.Ahsante sana kwa ufafanuzi huu wa kina. Hakika elimu haina mwisho. Nimejifunza jambo jipya hapa.
MAJINNI hupenda MUONEKANO mzuriHivi kwa nini hawa viumbe huvaa kama wanawake wa kiislamu tu.
Nasema uongo jamani??
Asante ila umekimbilia kunitisha badala ya kunipa njia au mbinu za kuonana nao tumesikia shuhuda nyingi za kuona viumbe vya ajabu na watu vinawatokea na wanasimulia binafsi siamini sana sababu sijawahi kuona na hata nikiona nataka kwa ajili ya kujifunza na stori mbili Tatu sio kukufuru asante!Huwezi kumuona JINNI Live unless ufanye au uwe umefanya vitu vya kufuru mno
Ama awe amekuchunuku au wamekuchunuku na umefikia viwango vikubwa ndio anaweza kukutokea katika umbo la kibinadamu na kufahamu kuwa nipo na JINNI lakini katika umbo la kibinadamu
hata kuishi na wewe na unaweza kuishi na JINNI kinyumba au ushirikiano wa hali ya juu lakini usiweze kumuona kwa Umbo lake halisi
Umbo halisi la JINNI linatisha sana tena saana
Na ikatokea binadamu wa kawaida ukaingia katika anga zao wakiwa katika maumbo halisi duniani kitendo cha kumuona sekunde chache huweza kupatwa maradhi makubwa hata kupalalaizi au hata ukapitiwa tu ule upepo bila kumuona unaweza lala ndani wiki nzima hata mwenzi kwa maradhi yasionekana
Hvyo kumuona JINNI na kumuona kwa kujua huyu ni JINNI si AIDIA nzuri inaweza kukuletea matatizo makubwa au kukuingiza katika mambo usiyoyategemea nakushindwa kutoka 7bu JINNI mpka akajitransfom kuwa katika umbo la kibiniadamu uwa na misheni maalum si wote huvaa tu husika wa kibinaadamu ni mpk iamuliwe wengi utamani lkn hawawezi
Sasa kumuona JINNI katika umbo lake la kutisha huwe umefika viwango vikubwa vya Uwalii(uongozi au mamlaka) ambayo mwenyezimungu mwenyewe hukujalia
Mfano MASHEKHE wenye elimu kubwa au hata baadhi ya Wachungaji wenye karama kubwa au walokole wenye kunena mpk kwa lugha ama uchunukiwe na MAJINNI wakubwa kwa ajili ya TIBA
kinyume chake uwe mshirikina wa kiwango cha juu au mchawi wenye vyeo makundini ama waganga washirikina
Hvyo basi ndugu mtanzania mwenzangu baki kusikia tu hvyo hvyo tu basi yapotezee
Ila mahusiano na MAJINNI si mazuri wala si ya kufurahia huwa na mwisho mbaya mno si hapa duniani na hata AKHERA huwa majuto makubwa
hahahahahah kubababakeAnko jaribu kusoma id yangu alafu utanishukuru kesho ukiamka
Sijakutisha nimeekutahadharisha ukitaka unaweza kuendeleaAsante ila umekimbilia kunitisha badala ya kunipa njia au mbinu za kuonana nao tumesikia shuhuda nyingi za kuona viumbe vya ajabu na watu vinawatokea na wanasimulia binafsi siamini sana sababu sijawahi kuona na hata nikiona nataka kwa ajili ya kujifunza na stori mbili Tatu sio kukufuru asante!
Sasa mkuu kiungo cha ndani cha paka aliekufa ndani ya 24hrs nashindwaje kukipata? Mimi sina shida ya utajiri au maradhi ya kutibiwa na wao kikubwa ni uthibitisho tu kwamba kweli ivi vitu vina exist au tunaongopeana tu na kama vipo si mbaya kujadiliana nao mambo kadhaa wa kadhaa kama marafiki tu sababu wapo Majini wema na mtu akipandisha mashetani mbona tunapiga nao stori tu bila masharti yoyote.Sijakutisha nimeekutahadharisha ukitaka unaweza kuendelea jambo la maamuzi ya siku 1 katika wiki na kukusanya baadhi ya vitu wala si lazima awepo mganga au mtaalamu ni wewe mwenyewe tu kufuata masharti na maelekezo na kuamua kutumia njia ipi
Kwa kuwa hujafikia viwango njia ya mkato ni kufanya ushirikina wenye kufuru
Mfano wa tools 1 katika baadhi ya njia ni kuwa na kiungo cha ndani cha paka aliyekufa ndani ya masaa 24 je utaweza ? na
Kuna mengi tu katika maandalizi ya haraka na ukifanikiwa kuwaona hurudi nyuma tena unakuwa mshirika wao je utakubari
Hvyo achana na habari za kutaka kuwaona MAJINNI tafuta riziki kwa ajiri ya familia yako
watakupotezea muda wako wa thamani hapa DUNIANI ambao hautaupata tena
Hapo sasa ndipo sisi tunapokosea wanaadamuSasa mkuu kiungo cha ndani cha paka aliekufa ndani ya 24hrs nashindwaje kukipata? Mimi sina shida ya utajiri au maradhi ya kutibiwa na wao kikubwa ni uthibitisho tu kwamba kweli ivi vitu vina exist au tunaongopeana tu na kama vipo si mbaya kujadiliana nao mambo kadhaa wa kadhaa kama marafiki tu sababu wapo Majini wema na mtu akipandisha mashetani mbona tunapiga nao stori tu bila masharti yoyote.
Elimu nimejifunza vitabu mbalimbali na waalimu mbalimbali
Lakini pia walikuwa miongoni mwa washirika wangu hapa DUNIANI
Baul ni mkojo (البول). Kiarabu hicho.Hiyo Baulu ni nini?
Unajua Kiswahili ni kipana sana na kitakupa tabu kama hujui lahaja tofauti na uliyoizoea.Kuchunuku=Kutunuku.