T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,102
- 4,515
NYIE MODERATORS ACHENI UPUUZI
NYIE MODERATORS ACHENI UPUUZI
hata me nimeshangaa mtaalam.vinyes vinyes mostly huwa ni dawa za kuumiz umiz.baulu( bawl) mkojo huo.∆ baulu ya asubhi ni mkojo wa asubuh. mtaaaalmAwali ya yote JINNIi na SHEITWANI ni vitu viwili tofauti
Ambapo wengi huchanganya katika matamshi
Kiumbe chaweza kuwa JINNI lakini kisifike LEVO au cheo cha kuitwa SHEITWANI
Na KIUMBE chaweza kuwa BINADAMU km mimi na wewe lakini twaweza fika LEVO za juu kabisa za CHEO cha ushwetani kutokana na kufuru zetu kwa MUNGU
Na cheo cha USHEITWANI wanakipata MAJINNI na BINADAMU tu kutokana ba MATUKIO yao matendo maneno
Lakini mpaka mpaka JINNI au BINADAMU upate kuwa SHEITWANI
Basi MWENYENZIMU amekukataa na wewe MWANAWADAMU au JINNI umeemkataa MWENYEZIMUNGU pia sio muumba wako na wala umtegemei yeye
inamaana MUNGU AMEKULAANI km alivyolaaniwa IBILISI ndio mana mpaka leo IBILISI ni SHEITWAN mkuu
Bahati iliyopo sisi wanaadamu tukitubia kwa kutorudia kosa tunasamehewa hata km dhambi zetu rundo tani 100 tunasamehewa
lakini kwa MAJINNI akillaaniwa na kuwa sheitwani wamelahaniwa ndo nitolee hiyo wanasubiri tu moto kuwachoma ndo maana likikuvaa SHEITWANI la KIJINNI linakupelekesha puta au kukuhadaa na starehe za dunia kwelikweli usahau kutubia ili muende wote MOTONI anataka muende wote
tukirudi kwenye mada yako ni kawaida JINNI mahaba kukuhadaa kwa utajiri na uganga hasa wale wa kuchunuku
Lkn kwa namna ya maelezo yako 90% si sahihi
JINNI mwenye kutaka kukupa kitu inamaana wa kuchunuku hawezi kukutokea ghafla bin vuu eti chukua hiki
hizo ni story tu pengine mmekuwa mkithimuliana vijiweni
JINNI mwanamke wa baharini hawezi akakutajia dawa zenye najisi uchafu ?!!
uganga wa kijjini unapenda usafi
Majini ni viumbe mzee kama mimi na wewe....wapo wachamungu na waasi.Hao ni ndugu zao
Naomba utaratibu nikitaka kumuona jini natumia njia gani maana nataka ku prove kama kweli kuna viumbe tofauti na binadamu vina ishi.Awali ya yote JINNIi na SHEITWANI ni vitu viwili tofauti
Ambapo wengi huchanganya katika matamshi
Kiumbe chaweza kuwa JINNI lakini kisifike LEVO au cheo cha kuitwa SHEITWANI
Na KIUMBE chaweza kuwa BINADAMU km mimi na wewe lakini twaweza fika LEVO za juu kabisa za CHEO cha ushwetani kutokana na kufuru zetu kwa MUNGU
Na cheo cha USHEITWANI wanakipata MAJINNI na BINADAMU tu kutokana ba MATUKIO yao matendo maneno
Lakini mpaka mpaka JINNI au BINADAMU upate kuwa SHEITWANI
Basi MWENYENZIMU amekukataa na wewe MWANAWADAMU au JINNI umeemkataa MWENYEZIMUNGU pia sio muumba wako na wala umtegemei yeye
inamaana MUNGU AMEKULAANI km alivyolaaniwa IBILISI ndio mana mpaka leo IBILISI ni SHEITWAN mkuu
Bahati iliyopo sisi wanaadamu tukitubia kwa kutorudia kosa tunasamehewa hata km dhambi zetu rundo tani 100 tunasamehewa
lakini kwa MAJINNI akillaaniwa na kuwa sheitwani wamelahaniwa ndo nitolee hiyo wanasubiri tu moto kuwachoma ndo maana likikuvaa SHEITWANI la KIJINNI linakupelekesha puta au kukuhadaa na starehe za dunia kwelikweli usahau kutubia ili muende wote MOTONI anataka muende wote
tukirudi kwenye mada yako ni kawaida JINNI mahaba kukuhadaa kwa utajiri na uganga hasa wale wa kuchunuku
Lkn kwa namna ya maelezo yako 90% si sahihi
JINNI mwenye kutaka kukupa kitu inamaana wa kuchunuku hawezi kukutokea ghafla bin vuu eti chukua hiki
hizo ni story tu pengine mmekuwa mkithimuliana vijiweni
JINNI mwanamke wa baharini hawezi akakutajia dawa zenye najisi uchafu ?!!
uganga wa kijjini unapenda usafi
kila la heriNaomba utaratibu nikitaka kumuona jini natumia njia gani maana nataka ku prove kama kweli kuna viumbe tofauti na binadamu vina ishi.
lakini kwa MAJINNI akillaaniwa na kuwa sheitwani wamelahaniwa ndo nitolee hiyo wanasubiri tu moto kuwachoma
Ulitaka wajifananishe dini gani? Ilio sasa hihi kwao ili iwapoteze?Hivi kwa nini hawa viumbe huvaa kama wanawake wa kiislamu tu.
Nasema uongo jamani??
Jombaa hao hawawezi kujifananisha na kitu ambacho hakipo kwao lengo lao nikupoteza binadam sasa watajifananisha na dini gani iliyo sahihi?Umewahi kuwashuhudia wangapi mkuu kwa macho yako au ndo chuki tu dhidi ya Imani nyingine?Mkuu acha chuki si kitu kizuri sana
🤣Hivi kwa nini hawa viumbe huvaa kama wanawake wa kiislamu tu.
Nasema uongo jamani??
kuchunukuNdugu Mzimu wa Kolelo , je huu msamiati kuchunuku una maana gani?
Ahsante sana kwa ufafanuzi huu wa kina. Hakika elimu haina mwisho. Nimejifunza jambo jipya hapa.Hvyo msamiati sahihi wa kuchunuku ni kukupenda lakini katika mahusiano kati ya JINNI na Binadamu
yaweza kuwa mapenzi au mahusihano ya kawaida eidha kielimu kiuganga nk kuchunukiwa ni kupendwa na MAJINNI wenyewe na kukuchagua kwa ajili ya jambo lao au adhima yao katika kufikisha kitu jambo msaada au vitu kwa BINADAMU ama la kinyume chake kuchukua vitu au jambo nk