Habari za Udukuzi.....

Hakuna siku nitafurahi kama siku anatiwa hatiani kwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa! Kwani sasa hivi mshasema? Mtasema sana baada ya hapo!
Kwa taarifa yako hadi sasa hakuna ushahidi wowote wa kumtia hatiani, labda kwa maagizo ya muuaji Samia. Yaani unasubiria meli airport.
 
Kwa vile wewe ni mtoto wa Shule nikuchukulie kama chekechekea anayetawazwa kinyesi, huna hatia kwa haya uropokayo.

Ila ukiwa mkubwa utayachukia uliyoropoka.
Huyo namdai mwambie kanikimbia kwenye uzi fulani mkumbushe arudi kwenye uzi wetu, chawa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…