Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Vyoo ni muhimu kwa binadamu,na kila familia inatakiwa iwe na vyoo.Jana,Mgambo wamelizimika kukamata familia zaidi ya kumi katika vijiji vinne vya mkoani Tanga kwa kukosa vyoo,walivyohojiwa wanasema wanajisahidia vichakani.Miaka 50 ya uhuru wakati vijiji kama Kabuku na vyenzake havina maji(ndoo moja ya maji inanunuliwa kwa tshs1000).Prf Mwandosya umerudi kazini lione hili,Dr Mponda pia linakuhusu.