C Chuma solo guy Member Oct 13, 2015 16 18 Jan 4, 2023 #1 Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu. Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu. Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,063 10,701 Jan 4, 2023 #2 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
92 jerrie JF-Expert Member Feb 28, 2022 6,558 14,839 Jan 4, 2023 #3 Unasahauje sasa neno siri la mtandao mzuri kama huu
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,638 697,938 Jan 4, 2023 #5 Chuma solo guy said: Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu. Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee Click to expand... Karibu tena JF
Chuma solo guy said: Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu. Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee Click to expand... Karibu tena JF