Chuma solo guy
Member
- Oct 13, 2015
- 16
- 18
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili
Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.
Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.
Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee