Mikoa ya Rukwa,Mbeya,Ruvuma na Iringa haihitaji wawekezeji wa kilimo wanahitaji MASOKO ya uhakika na RUHUSA ya kuuza ziada nchi jirani.Hivi hata kulima serikali haiwezi?
Naona kwenye hiki kikao cha kikwete,eti wanawaita wawekezaji kulima
Mimi naombea afanye ziara mbeya.
Mikoa ya Rukwa,Mbeya,Ruvuma na Iringa haihitaji wawekezeji wa kilimo wanahitaji MASOKO ya uhakika na RUHUSA ya kuuza ziada nchi jirani.
Ikiendelea hivi msishangae tukaletewa wawekezaji wa kuzaa na wake zetu ku-imrove kizazi kijacho lol!