Kuna mkutano wa injili unaendelea kanisa la TAG Manzese B. Kibao chake kiko plae tiptop kama unaelekea ubungo kiko upande wa kushoto.
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi