Habari njema za uzima

Breacher

Member
Jan 10, 2011
10
0
Kuna mkutano wa injili unaendelea kanisa la TAG Manzese B. Kibao chake kiko plae tiptop kama unaelekea ubungo kiko upande wa kushoto.
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi
 
Kuna mkutano wa injili unaendelea kanisa la TAG Manzese B. Kibao chake kiko plae tiptop kama unaelekea ubungo kiko upande wa kushoto.
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi

Asante mkuu, umetimiza agizo la neno la Mungu la kulitangaza neno lake popote, ujumbe umefika na nadhani bwana atajitwalia walio tayari kwenda kusikiliza.
 
Kuna mkutano wa injili unaendelea kanisa la TAG Manzese B. Kibao chake kiko plae tiptop kama unaelekea ubungo kiko upande wa kushoto.
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi

Asante mkuu kwa tangazo
 
ubarikiwe sana mpendwa kwa kusaidia kuliforward neno la kweli. wengine tuko mbali kwa sasa nafikiri walio karibu watahudhuria
 
amina sana tu...amina sana tu......TENA ANAYEHUBIRIWA NI YESU ALIYE HAI......ambaye ukimwamini UZIMA WA MILELE NI MALI YAKO,TAJI YA UZIMA,........UTAMSHINDA SHETANI DUNIANI NA MBINGUNI PIA....ndo maana tunasema kuna WOKOVU DUNIANI
 
Kuna mkutano wa injili unaendelea kanisa la TAG Manzese B. Kibao chake kiko plae tiptop kama unaelekea ubungo kiko upande wa kushoto.
kuna mhubiri pale anafundisha vitu ambavyo kama kuna mtu anatamani kujifunza kujua mafunuo ya maandiko nadhani itakuwa muhimu sana. seminar ipo kila siku kuanzia saa kumi jioni. ni vizuri mtu ajaribu mwenyewe angalau siku moja halafu aamue kutokwenda au lah. wenye pikipiki wapo hapo kwenye kibao na taxi

Amina mpendwa. Ubarikiwe sana kwa ujumbe huu.
 
Hongera mpendwa kwa huduma. Huduma yako ni nzuri sana. Plz endelea kushirikisha wanaJF neno la Mungu.
Mwenyenzi Mungu aibariki injili yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom