Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Natumaini wanajamvi mu- wazima wa afya mkiendelea na majukumu ya hapa na pale ,
Mungu wetu ashukuliwe na awe nanyi katika kila hatua mnayopitia.
Kutokana na stendi ya jijj la Dodoma kuhamishwa mjini ( Jamatini) ilipokuaga zamani na kupelekwa nje kidogo ya mji NANENANE. Hivyo basi uongozi wa selikali ya wanafunzi ST JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA umeamua kuwasaidia wanafunzi wanaotarajiwa kuanza kuripoti kwa maana ya first year kutoka mikoani kuja jiji la Dodoma kuwasaidia. Ewe mzazi wa mwanafunzi au mwanafunzi uliyechaguliwa katika chuo hiki upitiapo uzi huu waambie na wenzako.
Hii hasa ni kwa wale watakao panda mabasi ya SHABIBY na KIMBINYIKO
Na kwa msaada zaidi nawakaribisha maswali.
Mungu wetu ashukuliwe na awe nanyi katika kila hatua mnayopitia.
Kutokana na stendi ya jijj la Dodoma kuhamishwa mjini ( Jamatini) ilipokuaga zamani na kupelekwa nje kidogo ya mji NANENANE. Hivyo basi uongozi wa selikali ya wanafunzi ST JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA umeamua kuwasaidia wanafunzi wanaotarajiwa kuanza kuripoti kwa maana ya first year kutoka mikoani kuja jiji la Dodoma kuwasaidia. Ewe mzazi wa mwanafunzi au mwanafunzi uliyechaguliwa katika chuo hiki upitiapo uzi huu waambie na wenzako.
Hii hasa ni kwa wale watakao panda mabasi ya SHABIBY na KIMBINYIKO
Na kwa msaada zaidi nawakaribisha maswali.