Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Aisee hata mie sifanyi TENDE la ndoa balo TENDO halisi la ndoa.Utafiti huu ni kwa hisani yako?
Mbona nimechomoka sana bila kukutana hata na half kifo?
Aisee hata mie sifanyi TENDE la ndoa balo TENDO halisi la ndoa.Utafiti huu ni kwa hisani yako?
hizo ni laana na nndo mshalaaniwa na mjiaandae na moto mkaal utakao waangamiza..umemfunga mtoto wa watu nyumbani na ukizingatia asilimia kubwa mnofanya hivyo wake zenu wanawaheshimu na kuwapa kila kitu bila kuvunja maadili ya ndoa....leo wasema eti changudoa mtaaamu kuliko yule anaekufulia, kupikia katm ukashiba,na mwzingira ya nyumba yako yakapendeza...ama we umevunda umeoza kwa kuzini na kufurahia na kutenda maovu...mungu amsaidie huyo mke ulonae...:A S-danger:Ndo maana nyumba ndogo kamwe hazitaisha, sijui kwa nini wanawake wa nje ni watamu kuliko maza hausi?
Mhhh!...mbona yule daktari aliyekuwa anatokea visiwa vya Pemba, JIMBO LA wawi , na alipata kuwa makamu wa rAHISI alikuwa na Mkewe, na akapata mshituko kama huo, na ikawa ndo mazima?
Utafiti huu ni kwa hisani yako?
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
utafiti huu ni kwa hisani yako?
BE CAREFUL SO U'LL NOT DIE ON TOP.
Basi watakufa wengi sana hapa mjiniUchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Ndo maana nyumba ndogo kamwe hazitaisha, sijui kwa nini wanawake wa nje ni watamu kuliko maza hausi?
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Uchunguzi umebaini wengi wanaokufa kwenye tendo la ndoa kutokana na mshituko wa moyo ni watu ambao wametoka nje ya ndoa.
Ndo maana nyumba ndogo kamwe hazitaisha, sijui kwa nini wanawake wa nje ni watamu kuliko maza hausi?