Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Ukimuangalia Malaika Kwa jicho la pekee. He, himself, ni muoga hana uwezo wa kusimama kwenye ulingo wa siasa ziwe za ndani au za kimataifa, ndio maana ana burst na kukurupukia mambo yakigoma anakuwa kimya kama sio yeye. Ili la Kissu nyikani linamnyima kweli usingizi ila lipo nje ya uwezo wake, hana pa kutokea, ndo mana anaamua kushika hapa na pale, kukuza mambo, kujisafisha ili a destruct attention kule nyikani, all in all 2020, kuna mengi yatatokea. Stay tunedNi kweli ni mgeni na isingekuwa ugomvi wa bwana handsome na the elderly asingekuwa pale. Malaika anaelewa kuwa anachukiwa sana na ni mwoga wa ballots . Kipindi hiki mpaka ballots ipite kuna atakae tolewa kafara ili malaika atakate.
The elderly anajitahidi kutunza maslahi yake. Hawaoni watoto wa mjini wamepoteza vyote lakini bado wamegangamala.
Na mziki wa Kissu kule nyikani nayo haimpi usingizi. Waliodhani 2020 itakuwa ganda la ndizi wamechelewa.