Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
- Thread starter
- #41
Thank you lakini the elderly bado ana influence ya kuishawishi mishipa wana koromeo kumpitisha malaika? Ninawasiwasi na Mburushi atatumia kete gani kwani kule eneo la korosho kunaonekana ni tishio.Siasa ni kama mchezo wa draft mbali na kutumia kete zako lazima ujue adui yako anawaza nini na anaweza kutumia kete zipi, timing pia inaitajika kuweza kutumia kete za adui yako kabla hajazitumia kukuangamiza, hivyo anko alimuitaji ed na mwingine asie na wadhifa au ana wadhifa invisible ili wasitumiwe na kambi pinzani ndani ya chama kitukufu, vinginevyo mtukufu anko atavunja recod ya kutawala muongo mmoja, so mambo yawe sawa ni kujenga urafiki na rafiki wa adui yako ili adui awe karibu kumdefeat. Na urafiki wao sio wa kununuliana kikombe cha kahawa au ule urafiki wa Boyz 2 men, Bali urafiki wao ni wa kukaa kwenye system mda mrefu ndani ya chama, Kwa uhusiano huu ni raisi kumnunua mmoja alafu mwingine awe sadaka Kwa tamaa yake, mana naye akianzisha safari ya ma hope 2020, tutajuwa tumembana angle zote automatic atashindwa na atapita njia ile "Nimerudi Nyumbani" Game Over.