Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 8,987
- 12,444
Watu wameumbwa .
Hebu weka na wewe tukuoneMwenyewe kakaushaaa..
Muone nini?Hebu weka na wewe tukuone
Mkuu siku hizi wanajiumba wenyeweWatu wameumbwa .View attachment 959607
Uumbaji wa munguMuone nini?
Akili ya jf inafananisha uhalisia na avatar mimi nimepigwa pasi ya Mkaa.Uumbaji wa mungu
Sidhan hebu itume kule nione pekeanguAkili ya jf inafananisha uhalisia na avatar mimi nimepigwa pasi ya Mkaa.
Akili huna wewe.Sidhan hebu itume kule nione pekeangu
Kama wewe ambavo huna churaAkili huna wewe.
Chura wa Kihansi..!Kama wewe ambavo huna chura
Usipojua dunia iliko sasa hivi utahangaika sana na hivi viumbe(Mama na Dada zetu) mwishowe kujikuta unapoteza muda wako tu bure pasipo na faida yoyote Mkuu.Watu wameumbwa .View attachment 959607
Wao kwao vimeshakuwa vitu vya kawaida ndio maana hawashangaiLeo nimepita mahali nikawa namshangaa mrembo mmoja. Wanaume wa Dar waliokuwa wanaendesha Bajaj wakawa wananishanga mie ninayemshanga mwanamke. Nikawashanga kweli. Yani wanaacha kuangalia makalio, wao wananiangalie mie nilietumbua macho!