GX 110 Toyota Mark ii

GX 110 Toyota Mark ii

cenzo

Senior Member
Joined
May 7, 2015
Posts
124
Reaction score
28
Habari wana JF,

Ninauza gari yangu Toyota mark II
mwaka 2003
Namba T 738 CLQ
KM 101000

Gari ipo katika hali nzuri sana nimeagiza mwenyewe toka japan kwajili ya shughuli zangu na sasa nimemaliza shughuli zangu za hapa nchini hivyo nasafiri nje sasa nimeamua kuuza kwakuwa sihitaji tena. Kwa wateja walio serious bei ni milioni tisa na laki tano 9,500,000. Napatikana hapa Dar es salaam.

Asanteni
 

Attachments

  • 1434520288119.jpg
    1434520288119.jpg
    64.7 KB · Views: 824
9.5? Mbona parefu hivyo....ungeanzia hata 7
 
Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa nauza sababu nimemaliza shughuli zangu za hapa sasa nataka kusafiri mnunuzi alie serious
 
Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa nauza sababu nimemaliza shughuli zangu za hapa sasa nataka kusafiri mnunuzi alie serious
Bra a ninong'oneze shughuli uliofanyia.

Manake ushalifanyia hiyo shughuli sasa unakimbia nchi.:becky:
 
Bra a ninong'oneze shughuli uliofanyia.

Manake ushalifanyia hiyo shughuli sasa unakimbia nchi.:becky:

Haha mkuu shughuli zangu binafsi na sio shughuli za gari
 
Tisa mbali mkuu kiuhalisia na bei za gari ya model hiyo. . . .
 
Habari wana JF,

Ninauza gari yangu Toyota mark II
mwaka 2003
Namba T 738 CLQ
KM 101000

Gari ipo katika hali nzuri sana nimeagiza mwenyewe toka japan kwajili ya shughuli zangu na sasa nimemaliza shughuli zangu za hapa nchini hivyo nasafiri nje sasa nimeamua kuuza kwakuwa sihitaji tena. Kwa wateja walio serious bei ni milioni tisa na laki tano 9,500,000. Napatikana hapa Dar es salaam.

Asanteni

Boss najua gari yako unaipenda,unajua uzuri wake,lakini 9.5m juu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom