cenzo
Senior Member
- May 7, 2015
- 124
- 28
Habari wana JF,
Ninauza gari yangu Toyota mark II
mwaka 2003
Namba T 738 CLQ
KM 101000
Gari ipo katika hali nzuri sana nimeagiza mwenyewe toka japan kwajili ya shughuli zangu na sasa nimemaliza shughuli zangu za hapa nchini hivyo nasafiri nje sasa nimeamua kuuza kwakuwa sihitaji tena. Kwa wateja walio serious bei ni milioni tisa na laki tano 9,500,000. Napatikana hapa Dar es salaam.
Asanteni
Ninauza gari yangu Toyota mark II
mwaka 2003
Namba T 738 CLQ
KM 101000
Gari ipo katika hali nzuri sana nimeagiza mwenyewe toka japan kwajili ya shughuli zangu na sasa nimemaliza shughuli zangu za hapa nchini hivyo nasafiri nje sasa nimeamua kuuza kwakuwa sihitaji tena. Kwa wateja walio serious bei ni milioni tisa na laki tano 9,500,000. Napatikana hapa Dar es salaam.
Asanteni